Grammy wamkataa Diamond Platnumz

Grammy wamkataa Diamond Platnumz

Wenyewe Grammy recording Acardemy wametaja sababu ni
1 Nyimbo aliowasilisha 'komasava' kuwa hit na kua viral sio kigezo cha yeye kuingizwa kwenye vipengele vya tuzo hizo. Inabidi ue unatoa kazi constantly zinazofanya vizuri katika soko la dunia sio kwa hit moja iliofanya vizuri

2 Yeye sio international artist bali ni msanii anaefanya vizuri afrika mashariki na kati. Tofauti na wasanii kama Biurnaboy, davido , wizkid , Rema, ambao wanajulikana duniani, kazi zao na show zinafanyila pande mbalimbali za dunia. Bado Hajaliteka soko la dunia

3 licha ya Bongo fleva kuongezwa kwenye vipengele vya Grammy kama genre ya mziki kutoka Afrika. Wasanii wanaoimba mziki huo hawajautendea haki kuuonyesha IMPACT na nguvu yake katika dunia

Alafu hizi anazoimba diamond sio Bongo Flava ni AMAPIANO! ni genre ya watu wengine wanaoexist tayari. Atasubiri sana huko sio BET au MTV paramount wale kusema atawahonga.
 
Shida amepeleka amapiano aliyocopy huku anajua amapiano una mwanzilishi wake, angepeleka hata ule wimbo wa nenda ka mwambie au nitarejea wangemfikiria sana.

Na hata ingetokea ameshinda kwa wimbo huo basi ingekuwa matusi makubwa sana kwa wenye amapiano yao. Uzuri kwenye kamati ya Grammy yupo msouth namfahamu, Nilijua tu lazima wapige kwenye mshono!
 
Back
Top Bottom