Anataka kunywa zote kwa pamoja au moja moja kila siku..??Jamani huyu wife ana mimba ya miezi saba sasa, amehamua kununua grandmalt caton nzima, jamani hazina madhara hizi?
Jamani huyu wife ana mimba ya miezi saba sasa, amehamua kununua grandmalt caton nzima, jamani hazina madhara hizi?
Jamani huyu wife ana mimba ya
miezi saba sasa, amehamua kununua grandmalt caton nzima, jamani hazina
madhara hizi?
Mie nilikunywa sana redbull na sikupata madhara yoyote hadi najifungua, anyway ngoja aje mzizi hapa adadavue