Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
[emoji23]maharage+mayai [emoji28],mkuu unayeishi naye ana kazi usiku
Mkuu...Ndio maana bei za UDASA na GRANO COFEE ziko tofauti.......Ukitaka UDASA iwe kama GRANO COFEE; lecturers na hao wasomi wetu, wataweza kweli kwenda kupata chakula na vinywaji pale?Hizi ni sehemu za kujiburudisha kwa vinywaji/chakula kwenye compound moja hapo jijini Dar. Ila sehemu moja pamoja na kulisha wasomi wakubwa nchi hii mazingira ni hafifu (ikiwemo vyoo vyake). Sijui wasomi wetu wanakwama wapi?
GRANO CAFFE
View attachment 2124303
View attachment 2124304
View attachment 2124305
Maprofesa wanalipwa bei gani?Mkuu...Ndio maana bei za UDASA na GRANO COFEE ziko tofauti.......Ukitaka UDASA iwe kama GRANO COFEE; lecturers na hao wasomi wetu, wataweza kweli kwenda kupata chakula na vinywaji pale?
Sina haja ya Kujua....Mbona huwa hatuwakuti pale Grano Coffee hata kwa bahati Mbaya. Tunawakuta UDASA na pale Opposite ya UDBS tu....Hivyo jibu unalo mwenyewe hapo.Maprofesa wanalipwa bei gani?
daah, nimegonga sana watoto wazuri wa udbs, kitambo ichooUDBS
Wasomi na exposure juu lakini hawawezi ku implement hata vitu vidogo ili pawe eneo bora zaidi!Hizi ni sehemu za kujiburudisha kwa vinywaji/chakula kwenye compound moja hapo jijini Dar. Ila sehemu moja pamoja na kulisha wasomi wakubwa nchi hii mazingira ni hafifu (ikiwemo vyoo vyake). Sijui wasomi wetu wanakwama wapi?
GRANO CAFFE
View attachment 2124303
View attachment 2124304
View attachment 2124305