GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huko nyuma alikuwa na Nidhamu sana ( kwa kuwa Mtu wa Ibada na Kuchukia Starehe ) ila GENTAMYCINE nimesikitika mno tokea mwaka jana ( Msimu ulioisha ) hadi huu wa sasa ulioanza Kiwango chake kimeshuka na kinaendelea tu Kushuka.
Tafadhali mliyenae Karibu mwambieni aachane na 'Bata K' zake za Magomeni Mataa, ya Kawe Ukwamani anayoshea na Nyoni na Mkude, ya Kimara Baruti na ile ya Kinondoni Studio kwani zinammaliza mno Kiwango chake na abakie tu na 'Bata K' yake iliyobarikiwa na Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikitini.
Tafadhali mliyenae Karibu mwambieni aachane na 'Bata K' zake za Magomeni Mataa, ya Kawe Ukwamani anayoshea na Nyoni na Mkude, ya Kimara Baruti na ile ya Kinondoni Studio kwani zinammaliza mno Kiwango chake na abakie tu na 'Bata K' yake iliyobarikiwa na Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikitini.