Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
MSHUKURUNI SANA HAYATI JPM.
Mbwa nyie !!!
Mbwa nyie !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba u-note carefully nilicho sema.In other words nimesema hivi,"inner chaos hailetwi na the Covid Jab tu,ila hata Conventional Vaccines na sumu zingine.Hata hivyo Senator Robert F.Kennedy walicho prove pia ni kwamba Covid Vaccines ni Bioweapons.I
anshuman ni binadamu ambaye amebadilishwa DNA yake.Realistically sio binadamu tena,kwa kuwa hana the "Original Genome" ambayo Mungu aliikusudia.The "Original DNA" ya Mwanadamu ina similarity na ya Mungu.Inaamika kuwa the "inner chaos" we see in humanity, is because humans are not human anymore, but transhuman,na hii imeletwa na vitu kama Chanjo,sio Covid-19 jab tu,lakini hata Conventional Vaccines.
Inner chaos ilikuwepo tu kabla hata chanjo hazijaja
Yaan mbongo Mmoja tu ujifanye hapa 🤣🤣🤣Chanjo ni kwa faida yako sio ya serikali pekee. Tatizo la watu siku hizi wanataka serikali iwe kama mzazi wako! Watu wamepoteza ndugu na jamaa kwasababu ya kutukuchanja. Nashukuru nilipata Corona lakini nilikuwa nimechanja kwasababu hiyo sijaumwa sana
Inner chaos kwa binaadam haikuanza kipindi Cha chanjo,ipo miaka na miakaNaomba u-note carefully nilicho sema.In other words nimesema hivi,"inner chaos hailetwi na the Covid Jab tu,ila hata Conventional Vaccines na sumu zingine.Hata hivyo Senator Robert F.Kennedy walicho prove pia ni kwamba Covid Vaccines ni Bioweapons.
🤣🤣🤣🤣🤣Toka wadungwe hizo chanjo Kasi ya Ushoga imeongezeka kwa Kasi ya 5G.Zina wawasha nyuma.
Na Hayati alivyokua anachana Laivu na kusuta 🤣🤣Magufuli ilikuwa ni lazima aende, angekuwepo leo hii angewasuta na kuwa na mshindi against Big Pharma, hata kama ameenda, ameenda KIUME!
Why at mgonjwas' risk,wakati serikali ina wajibu wa kulinda watu wake?Sasa serikali kazi yake nini?Na ni ajabu kwamba bado watu wanachanjwa.Sasa kama si roho mbaya hii ni nini.Yaani unatumia ujinga wa mtu kumuumiza na kujineemesha? Huu ni ushetani na aibu sana.Ndiyo maana walisema idungwe at mgonjwa's risk
Ume-comment kijinga sana aisee,no substance presented kabisa,duh.Yaani ni kama umewekewa Flash Memory!Tafuta taarifa mkuu,soma utoke kwenye lindi la ujinga ulilo nalo..Robert kennedy naye ni Mental case kama republican wengi walivyo. Juzi kati alikuwa anajaribu kufanya stand up comedy!!. Kuwa senator hakufanyi mtu kutokuwa mwehu.
Kufanya stand up comedy ni kuwa mwehu, mnaishi kwenye cage kma ndege nyieRobert kennedy naye ni Mental case kama republican wengi walivyo. Juzi kati alikuwa anajaribu kufanya stand up comedy!!. Kuwa senator hakufanyi mtu kutokuwa mwehu.
It is unlikely kama wanafuatilia hasa ukizingatia hatari ya jab zenyewe.Nadhani itakuwa ni kujiumbua tu.
Kushinda waliodungwa?Manthanzua ni mental case.
Soma hapo juu ili ujue wewe ni mjinga kiasi ganiChanjo ni kwa faida yako sio ya serikali pekee. Tatizo la watu siku hizi wanataka serikali iwe kama mzazi wako! Watu wamepoteza ndugu na jamaa kwasababu ya kutukuchanja. Nashukuru nilipata Corona lakini nilikuwa nimechanja kwasababu hiyo sijaumwa sana
Mbwa kwa nini tena mkuu?Kwa sababu aliwatoa Watanzania kwenye lindi la ujinga au?This comment has so much to be desired.Yasni ni kama unawaumie Watanzania meno hivii,kwamba ninyiii,kama asingekuwa Magufuli tungewamaliza.MSHUKURUNI SANA HAYATI JPM.
Mbwa nyie !!!
Na sisi tuliochanjwa vaccine ya Johnson &Johnson pia na sisi tumekuwa TRANS-HUMAN?Usinipe ngonjera hapa.This is the usual Fauci, Bill Gates and Big Pharma nonsense,I am above that.Wenye Chanjo zao wameshindwa kuzitetea,wewe ni nani hata uzitetee.Kwanza una uhakika gani kwamba hata hiyo Covid yenye ipo,the truth is haipo.Acheni umbumbu,mnakubali kila ujinga mnaoambiwa.Huu ni mpanga mahususi wa kuwaua,amkeni.The truth is, the Covid hoax and con has crumbled,but after causing enormous damage and mayhem to the unsuspecting masses.
Yes. Ni kwambo jabs zote za Covid "basically" zina-fanana na for an intelligent mind, this was obvious from the beginning.Na sisi tuliochanjwa vaccine ya Johnson &Johnson pia na sisi tumekuwa TRANS-HUMAN?
Huko Kagera kunawezekana kuna Ebola. Chanjo yake inakuja, jiandae.Kushinda waliodungwa?