Great thinker na killazzaaa wa JF

Unaweza ukamtaja mwenzio kama kilaza kumbe member wengine wanakuona wewe ndo kilaza.
 
Ndo hvyo, damu itaruka..
Wewe endelea kumtumia T.I wako huku usipime kabisa
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unatishia kujamba wakati unaharisha
 
ah ah ah ah.. kuweni kama sunche na kapeto tu mmalize utata, majina tofauti ila sura vile vile
Swali;
Ni kwnini atumie avatar yangu, maana hilo neno CITY BOY mimi ndo niliyeli-creat
Kwanini huyu jamaa wa Muhas ananichokoza?
[emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]
 
Swali;
Ni kwnini atumie avatar yangu, maana hilo neno CITY BOY mimi ndo niliyeli-creat
Kwanini huyu jamaa wa Muhas ananichokoza?
[emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]
kaka naona tumetofautiana, ningekua mimi ningesema kumbe kuna watu wananikubali humu JF mpaka wanaiba Avatar, ila mpaka leo sijaona mtu anaetaka kuwa kifaru [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kaka naona tumetofautiana, ningekua mimi ningesema kumbe kuna watu wananikubali humu JF mpaka wanaiba Avatar, ila mpaka leo sijaona mtu anaetaka kuwa kifaru [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaa ana kasirika kisa avatar ,ni mtu wa ajabu sana huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…