[emoji2] wejamaani mchokozi kinomana na una bahati kuwa nmeshapigwa ban sana hvyo naogopa kupigwa tena, la sivyo nmgekufurumushia matusi mpk huu mwaa uisheha ha ha mkuu ngoja niitoe bhana nilikuwa nakuzingua tu
yupi huyo mkuu?Mods kwanini msiunganishe ID za huyu kiumbe..?
[emoji2] naona hilo ndo lengo lako, maana hata thread zako unazozianzisha zimekaa kishari sanaAisee nina hamu ya kutukanwa ngoja niirudishe basi unitukane kidogo
Utakua unenimiss tu wewe[emoji6]Great thinker mimi
****** wangu Valentina
Uko wapiUtakua unenimiss tu wewe[emoji6]
Nipo tu humu jfUko wapi
Njoo huku fbNipo tu humu jf
Nakushaur uwe shoga ha ha ha in jokes voice
Akili za kuambiwa changanya na zako wewe
Fikir ndani ya nafsi yako Una ndoto gani kitu gani waweza kufanya ukiwa nA amani ..model lazima uwe creative je unaweza Hilo.usifanye kitu kisa marafiki wamesema fanya kwa kuwa umeamua wewe mwenyew
kweli hata mimi nimeliona hiloHuyu mimi ndio kilazaa wangu. Hasa kwa comment hii.
Anaitwa ICHANA.
GT kwa kuwa na post vitu ambavyo mwingine hawezi kufikiria kuvipostWe mwenyewe unadhani upo kundi gani? na kwa nini?
Nakupenda saaana.Mkuu taratibu na beibi wangu.
we hujajitaja kama great thinker inamaanisha na ww ni kilaza tena nanga haaaaaaWakuu leo tutaje great thinkers na villazer wa JF ili kwa wale great thinkers waendelee kutema nondo na wale villazer wabadilike
Hapa unatakiwa kutaja great thinker mmoja na killazer mmoja
Kwa upande wangu great thinker wangu ni HR 666 killazer wangu kuna member anajiita mzurimie
**moderator tafadhari usiufute uzi huu sina nia mbaya**
soma post no 94 ukimaliza njoo utengue kauliwe hujajitaja kama great thinker inamaanisha na ww ni ****** tena nanga haaaaaa
hata chizi huwa anafikiri vitu ambavyo wengine hawafikirii nimeshaisoma sitengui kauli hahahasoma post no 94 ukimaliza njoo utengue kauli