J Mbungi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 269
- 74
Wapendwa Wanaboard wenzangu..Kuna fursa ya biashara ya Ndizi mbichi kwenda Turkey na Afghanistani..Kwa kuanzia tujadili na kufahamishane ni namna gani tunaweza kufanya hii biashara.. Nina Kampuni imeniapproach.. Wanataka kusupply Ndizi Mbichi(Green Bananas) Kutoka Tanzania Kwenda Uturuki kwa njia ya Majini(Kwa kutumia Bandari ya Dar Es Salaam na Mersin(Uturuki)..
Kwanza ningependa kujua uwezekano wa kufanya hii biashara..Je inawezekana? Tunaweza kuzi fanyia Packaging namna gani zikafika zikiwa mbichi? Je kuna meli maalum au macontainer ya baridi(Freezer/Cold Rooms ambazo zinaweza kutumika?
Kwa mtu ambaye yupo serious naomba tusaidiane information na Kama... it is real feasible?..
Kokotoa gharama za packaging and transporting up to Mersin harbour Turkey..Then tuone Kilo moja inaweza kuuzwa bei gani..
NOTE: Ikiwa deal hii inakaa sawa na upatikanaji wa Ndizi nzuri zenye UBORA upo...Na kwa Bei itakayo kubalika kwa mununuzi...Tutafanya mkataba kabisa na hii Kampuni kwa kuanzia ya mwaka mmoja..Na kila mwezi tuwe na uwezo wa ku EXPORT TANI 100..! Mwenye anafikiri tunaweza kufanya kitu ani- PM kwenye INBOX na details..
Kwanza ningependa kujua uwezekano wa kufanya hii biashara..Je inawezekana? Tunaweza kuzi fanyia Packaging namna gani zikafika zikiwa mbichi? Je kuna meli maalum au macontainer ya baridi(Freezer/Cold Rooms ambazo zinaweza kutumika?
Kwa mtu ambaye yupo serious naomba tusaidiane information na Kama... it is real feasible?..
Kokotoa gharama za packaging and transporting up to Mersin harbour Turkey..Then tuone Kilo moja inaweza kuuzwa bei gani..
NOTE: Ikiwa deal hii inakaa sawa na upatikanaji wa Ndizi nzuri zenye UBORA upo...Na kwa Bei itakayo kubalika kwa mununuzi...Tutafanya mkataba kabisa na hii Kampuni kwa kuanzia ya mwaka mmoja..Na kila mwezi tuwe na uwezo wa ku EXPORT TANI 100..! Mwenye anafikiri tunaweza kufanya kitu ani- PM kwenye INBOX na details..