Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba kaoa senior citizen ili kujihami kimaisha. Anawachuuza vijana eti Green card ndo itawatoa kimaisha bila kuwapa ukweli wa maisha.
Aacha utoto, kama kitu haukijui bora kukaa komya au ukaomba ufafanuzi green card ni ya miaka mingi sana hata kabla ya internet/whatsap/computerMwamba kaoa senior citizen ili kujihami kimaisha. Anawachuuza vijana eti Green card ndo itawatoa kimaisha bila kuwapa ukweli wa maisha.
Acha uchochezi wa chuki na unafiki..jamaa anaeleza kila kitu mazuri na mabaya ya Amerika.Mwamba kaoa senior citizen ili kujihami kimaisha. Anawachuuza vijana eti Green card ndo itawatoa kimaisha bila kuwapa ukweli wa maisha.
Wabongo punguzeni chuki.... Tatizo unakurupuka hujawahi kumfuatilia Makulilo mwenyewe unakuja hapa na mapovu yako bila kuwa na uhakika ukisemacho...Hii nchi ina watu wenye chuki sana sana sanaaa...Kwaiyo makulilo ndio anatoa hiyo green card ebu acheni uzuuzu kaka kuchukua elfu 20 zenu
Hasira gani wewe! Watu kama nyie hamfai katika jamii mmekalia Majungu na chuki kwendraaaa....Punguza hasira dada
Halafu mimi sio dada wewe bibi kizee...Punguza hasira dada
Umenena mkuu..kuna wabongo wana chuki sana maisha yamesha wapiga wanakuja kukatisha wenzao tamaa hapa.Umaskini mbaya Sana
Kuna watu wanaosha vizee USA lakini nyumbani wamejenga ghorofa moja ,plus usafiri tena sio Toyota wana range kuna koo zingine hawajawahi hata kuingia kwenye range hata kumiliki Tu
Halafu MTU yupo bongo ana miaka 50 hata hata pa kukaa KAZI anatapeliwa na kalinda ni heri watu waombe green card kama akifanikiwa ataleta hela nyumbani kuwekeza