Marekani kungekua na fursa hizo asinge toka huko kuja bongo kukusanya elfu ishirini ishirini za masikini wa kitanzania...Mwamba kaoa senior citizen ili kujihami kimaisha. Anawachuuza vijana eti Green card ndo itawatoa kimaisha bila kuwapa ukweli wa maisha.
Nenda wewe inatosha
Unakiri kabisa Tanzania ni maskini! Lakini unataka watanzania waendelee kubaki na umaskini wao badala ya kucheki fursa ughaibuni pia...watu kama nyie mna chuki, hata mtu afanye wema kiasi gani nyie mtaleta chuki zenu za kijinga!... Makulilo halazimishi mtu kumfanyia application ya green card lottery,Usipotaka Acha hulazimishwi... punguza chuki.Marekani kungekua na fursa hizo asinge toka huko kuja bongo kukusanya elfu ishirini ishirini za masikini wa kitanzania...
Bas Njoo nikutoboe nikupangie na apartmentSasa vijana wanatobolewa spika bure TZ sembuse huko US ambako anapangiwa na apartment?
Umenena mkuu, Nilicho jifunza kwenye huu Uzi ni kwamba ,Kuliko umpe Msaada na kumfanyia wema MTANZANIA bora huo wema na Msaada umpe Mbwa atakushukuru ila sio wabongo... wabongo wengi ni maskini jeuri na wanafiki wasiopenda maendeleo ya wengine...Mtu ataanza oohhh homeless marekani wanateseka wakati hata bongo homless wapo na hawana care yoyote ya maana wanajifia tu, unaiponda marekani wakati viongozi wako wanapishana angani kwenda kuomba misaada
Wengi tu. Na wala sio kuwa kilaza ila wabongo wengi ni waongo waongo, kuna mtu kule juu kasema unaweza kudanganya vitu, na hapo ndio watu hugundulika na kufeli interviews.
Hakuna sehemu nimepinga mtu kuanza chini kwenda juu, Kila mtu ataifanya na kupata anachostahili kulingana na uwezo wake uhalisia haudanganyi NO CARRIER NI MWENDO WA MANUAL WORKER that's my point
Ukiwa smart maisha yananyooka kule, kikubwa Green CardWewe kama ni mpambanaji hizo story zao achana nazo wengi ni wale waliofeli kila kitu hata hiyo 20k wastani wa dola 9 mtu analia huwezi kusema anajielewa, wanaosaka fursa ughaibuni ndio maana unaambiwa uwe unaanzia elimu ya form six ukifika kule unaweza kupiga hata nursing maisha yakasogea, boksi la USA na Boksi la bongo ni vitu viwili tofauti pesa inayoingia kutoka kwa jamii ya diaspora Kenya au Nigeria au SA , inatia hasira sana maana jamaa wametoboa na wanajenga nchi zao na wanarudi kuwekeza kwao bila nongwa, hivo mwenye kutaka ataapply asietaka aendelee kulala japo dollar tamu bana ukikanyaga dollar ukaiweka kwenye madafu ndio utajua tuko dunia ya tatu
Kabisa yeye alioa mzungu. Why hakucheza green card ili apate ukazi wa USA?Ache awalie hizo elfu 30 30 za kuwajazia form .Upuuzi mtupu.Mwamba kaoa senior citizen ili kujihami kimaisha. Anawachuuza vijana eti Green card ndo itawatoa kimaisha bila kuwapa ukweli wa maisha.
Huyo alikwenda US kwa scholarship ya ful bright sijui.Kusoma linguistic. Na ili kupata kibali cha kubaki huko ikabidi aoe mzungu.Mwanajeshi mstaafu wa US Navy lini tena wakati yeye hana miaka zaidi ya 10 huko
Mpaka hadi application unafanyiwa basi bora ubaki tu bongo. Maana US utaishia kupata ugonjwa wa akili tu.Halazimishi mtu kumfanyia application..ukitaka fanya mwenyewe.ila kwa wanao taka tu kufanyiwa ndio hulipa gharama hizo.
Sema inafikia kipindi, inabidi tuangalie zaidi maisha yetu binafsi sio ya mwingine, mm mtu akichezewa hainihusu.Mpaka hadi application unafanyiwa basi bora ubaki tu bongo. Maana US utaishia kupata ugonjwa wa akili tu.
Jeshi la marekani unaweza kupiga miaka mitano ukastaafu kwa mujibuMwanajeshi mstaafu wa US Navy lini tena wakati yeye hana miaka zaidi ya 10 huko
Nimesema nafanyiwa application??? Au nimesema wanaotaka kufanyiwa? Una elewa kiswahili kweli?? Inabidi urudi shuleni kujifunza upya lugha ya kiswahili.Mpaka hadi application unafanyiwa basi bora ubaki tu bongo. Maana US utaishia kupata ugonjwa wa akili tu.
Kabisa yeye alioa mzungu. Why hakucheza green card ili apate ukazi wa USA?Ache awalie hizo elfu 30 30 za kuwajazia form .Upuuzi mtupu.