Green Card Makulilo Lottery

Green Card Makulilo Lottery

Marekani kungekua na fursa hizo asinge toka huko kuja bongo kukusanya elfu ishirini ishirini za masikini wa kitanzania...
Unakiri kabisa Tanzania ni maskini! Lakini unataka watanzania waendelee kubaki na umaskini wao badala ya kucheki fursa ughaibuni pia...watu kama nyie mna chuki, hata mtu afanye wema kiasi gani nyie mtaleta chuki zenu za kijinga!... Makulilo halazimishi mtu kumfanyia application ya green card lottery,Usipotaka Acha hulazimishwi... punguza chuki.
 
Wewe kama ni mpambanaji hizo story zao achana nazo wengi ni wale waliofeli kila kitu hata hiyo 20k wastani wa dola 9 mtu analia huwezi kusema anajielewa, wanaosaka fursa ughaibuni ndio maana unaambiwa uwe unaanzia elimu ya form six ukifika kule unaweza kupiga hata nursing maisha yakasogea, boksi la USA na Boksi la bongo ni vitu viwili tofauti pesa inayoingia kutoka kwa jamii ya diaspora Kenya au Nigeria au SA , inatia hasira sana maana jamaa wametoboa na wanajenga nchi zao na wanarudi kuwekeza kwao bila nongwa, hivo mwenye kutaka ataapply asietaka aendelee kulala japo dollar tamu bana ukikanyaga dollar ukaiweka kwenye madafu ndio utajua tuko dunia ya tatu
 
Mtu ataanza oohhh homeless marekani wanateseka wakati hata bongo homless wapo na hawana care yoyote ya maana wanajifia tu, unaiponda marekani wakati viongozi wako wanapishana angani kwenda kuomba misaada
 
Mtu ataanza oohhh homeless marekani wanateseka wakati hata bongo homless wapo na hawana care yoyote ya maana wanajifia tu, unaiponda marekani wakati viongozi wako wanapishana angani kwenda kuomba misaada
Umenena mkuu, Nilicho jifunza kwenye huu Uzi ni kwamba ,Kuliko umpe Msaada na kumfanyia wema MTANZANIA bora huo wema na Msaada umpe Mbwa atakushukuru ila sio wabongo... wabongo wengi ni maskini jeuri na wanafiki wasiopenda maendeleo ya wengine...
 
Watanzania tena bado damu hazijatutoka puani asee daaah!! Nimekubali
 
Wengi tu. Na wala sio kuwa kilaza ila wabongo wengi ni waongo waongo, kuna mtu kule juu kasema unaweza kudanganya vitu, na hapo ndio watu hugundulika na kufeli interviews.

Inabidi uwe kilaza pro max that's my stance. Nawajua watu wenye background za kawaida kabisa na wamepita interview hao wanaofeli wana matatizo.

Kudanganya au kuforce king rather kupo kila hatua ukisubiri maisha yakujie in a silver platter huwezi kutoboa popote pale maishani. Watu wamedanganya visa za kawaida ndo sembuse DV lottery. One has to assume all the risks anapotaka kufanya forgery.
 
Hakuna sehemu nimepinga mtu kuanza chini kwenda juu, Kila mtu ataifanya na kupata anachostahili kulingana na uwezo wake uhalisia haudanganyi NO CARRIER NI MWENDO WA MANUAL WORKER that's my point

I believe you meant career not carrier.

You mean to tell me mtu akijiendeleza kielimu na kiujuzi hawezi kuwa na career US? Hii ni kwa wabongo tu au wageni wote maana najuwa watu kibao wenye career zao US including myself.

Kuna wabongo wamesoma engineering, nursing, medicine, law, truck driving nk na wana practise, hizi sio career?

Caregiver, kazi ambazo wengine wanafanya wakifika kabla ya kujiendeleza, could very well be become careers maana zinatoa full package as other jobs from paid vacation, pension, sick days nk. Wamarekani wengi tu wamefanya hizi kazi hadi kustaafu kwao na wamelipwa mafao yao na kutunza familia zao, how are these not careers?

Unajua mtu anayefika na green card anahaki ya kufanya kazi zote ambazo hazihitaji citizenship status ambazo ni zaidi ya 80% ya kazi zote na wanaweza kwenda shule na kupewa financial aid au loans. Mtu aliyejiendeleza ni vp hawezi kuwa na career na kuishia kufanya labor work siku zote?

Hizi sio careers: https:///www.youtube.com/watch?v=UPP_ZyX0znE&list=LL&index=17&t=5s
 
Wewe kama ni mpambanaji hizo story zao achana nazo wengi ni wale waliofeli kila kitu hata hiyo 20k wastani wa dola 9 mtu analia huwezi kusema anajielewa, wanaosaka fursa ughaibuni ndio maana unaambiwa uwe unaanzia elimu ya form six ukifika kule unaweza kupiga hata nursing maisha yakasogea, boksi la USA na Boksi la bongo ni vitu viwili tofauti pesa inayoingia kutoka kwa jamii ya diaspora Kenya au Nigeria au SA , inatia hasira sana maana jamaa wametoboa na wanajenga nchi zao na wanarudi kuwekeza kwao bila nongwa, hivo mwenye kutaka ataapply asietaka aendelee kulala japo dollar tamu bana ukikanyaga dollar ukaiweka kwenye madafu ndio utajua tuko dunia ya tatu
Ukiwa smart maisha yananyooka kule, kikubwa Green Card
 
Mpaka hadi application unafanyiwa basi bora ubaki tu bongo. Maana US utaishia kupata ugonjwa wa akili tu.
Sema inafikia kipindi, inabidi tuangalie zaidi maisha yetu binafsi sio ya mwingine, mm mtu akichezewa hainihusu.
Aende US sawa tu.
 
Mpaka hadi application unafanyiwa basi bora ubaki tu bongo. Maana US utaishia kupata ugonjwa wa akili tu.
Nimesema nafanyiwa application??? Au nimesema wanaotaka kufanyiwa? Una elewa kiswahili kweli?? Inabidi urudi shuleni kujifunza upya lugha ya kiswahili.
 
Back
Top Bottom