Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Kikundi cha kukimbia ndani ya jiji la Mbeya,Green city Runners leo wamefanya mazoezi Leo ikiwa ni maandalizi kuelekea mashindano ya Tulia Marathon.
Mwenyekiti wa kikundi hicho Maulid Jamadary amesema maandalizi hayo yamefanyika 30/4/2023 kwa kuwashikisha jacaranda runners wa jiji la mbeya mazoezi hayo ni mahususi kwaajili ya maandalizi ya mbio ya mbeya tulia marathon itakayofanyika tarehe 5/6- may mwaka huu.
Mashindano hayo ya Tulia Marathon yatafanyika ndani ya uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Mwenyekiti wa kikundi hicho Maulid Jamadary amesema maandalizi hayo yamefanyika 30/4/2023 kwa kuwashikisha jacaranda runners wa jiji la mbeya mazoezi hayo ni mahususi kwaajili ya maandalizi ya mbio ya mbeya tulia marathon itakayofanyika tarehe 5/6- may mwaka huu.
Mashindano hayo ya Tulia Marathon yatafanyika ndani ya uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.