The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Tuwaache wajiliwaze mana hizi sindano tulizowapiga co za nchi hii ni unacceptable, zinaitwa Astrazenecca [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakenya wamejenga vibanda vya chips
Kwamba hii ni kibanda ya Chipsi [emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]Again, ushamba ni mzigo sana.
Ndio maana mnasherekea vibanda vya chips.
Ndio mkuu...huoni hizo turubai kwa juu!Kwamba hii ni kibanda ya Chipsi [emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]View attachment 1741433
Ni plastick siyo turubai...Ndio mkuu...huoni hizo turubai kwa juu!
Unamaanisha zile bati za plastics ambazo zikichomwa sana na jua zinaoza [emoji23][emoji23][emoji23]Ni plastick siyo turubai...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio mkuu...huoni hizo turubai kwa juu!
Ndiyo modernity hyo wanayohubiri humu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ni plastick siyo turubai...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio mkuu...huoni hizo turubai kwa juu!
Bwahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba hii ni kibanda ya Chipsi [emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]View attachment 1741433
Hapa vipi[emoji23][emoji23]Again, ushamba ni mzigo sana.
Ndio maana mnasherekea vibanda vya chips.
Hivi unafahamu kuwa stendi ya mabasi Ubungo ilishahamia Mbezi?Hapa vipi[emoji23][emoji23]View attachment 1741517
Hapo poa ukipitia hii link.Hapa vipi[emoji23][emoji23]View attachment 1741517
What is the matter with the picture? Unataka kuaminisha umma kwamba iyo stand ni mbovu au unamaanisha nini?Bwahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1741514
Shida iko wapi daladala zimejipanga vzr, stand ina taa na ina kila kitu ku qualify kuwa modern bus stand au unataka tulinganishe na hizi ndo ujue kwamba hiyo ni modern [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa vipi[emoji23][emoji23]View attachment 1741517
Hata hivyo huwezi kufananisha na huu uchafu hapa, kaka Kenya ni uozo kaka wao wenyewe wanajua hilo sema wakiwa humu wanajipiga kifua tu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi unafahamu kuwa stendi ya mabasi Ubungo ilishahamia Mbezi?
Hiyo picha uliyo post ni ya stendi ya mabasi Ubungo ambayo sasa hivi kunaendelea ujenzi wa mambo mengine. View attachment 1741529
U smart kwenye nn? Kama wangekuwa smart wangekubali kuwa wakimbizi ndani ya nchi yao, wangekubali wachache mfano kina Kenyatta wajichukulie karibu robo tatu ya ardhi yenye rutuba na kuwaacha majority ya Wakenya wakiwa hawana ardhi? unaongelea u smart au unachanganya kuongea broken na u smart, u smart upi unaongelea wewe?Let be honest.
Mimi naamini wakenya ni watu smart zaidi kuliko watanzania katika mambo mengi, lakini katika hili la BRT hapana. Tanzania iko mbali sana, iko vizuri zaidi kwa BRT.
Ila hii sii BRT. Station zetu za BRT bado zinajengwa hadi na Parking za magari private za watu wanaotaka kuingia mjini kwa BRT. Hii station hapa ni ya Matatu na inaweza linganishwa na zenu za daladala. Nyie BRT yenu phase 1 ishamalizika inatumika, yetu bado inajengwa kwa hivo tusiwa na haraka ya kusema ya Tanzania ni bora maanake bado hujaona ya Kenya.Let be honest.
Mimi naamini wakenya ni watu smart zaidi kuliko watanzania katika mambo mengi, lakini katika hili la BRT hapana. Tanzania iko mbali sana, iko vizuri zaidi kwa BRT.
Boss, relaaax. Makasiriko ya nini. Ukweli unauma eeh? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣U smart kwenye nn? Kama wangekuwa smart wangekubali kuwa wakimbizi ndani ya nchi yao, wangekubali wachache mfano kina Kenyatta wajichukulie karibu robo tatu ya ardhi yenye rutuba na kuwaacha majority ya Wakenya wakiwa hawana ardhi? unaongelea u smart au unachanganya kuongea broken na u smart, u smart upi unaongelea wewe?