Green Park Bus Terminal

Green Park Bus Terminal

🤣🤣🤣🤣

Typical Bongolala thinking. First they argue that you can't have it. When you get it, they argue that it's poor quality. When you prove it's quality, the last kicks of the dying horse is always one. You don't need it. I'm out. 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😂😂Waelewe usipate stress bure.
 
Ex4C48JXAAAt2MW.jpg
Ex4HFZVWUAEYtGA.jpg
 
Haitaki makasiriko kunywa maji ya baridi aise tuendelee kulonga hakikisha umeunga bando
 
Whether imewekwa na shillingi mbili au billion mbili, Hamna. Accept and move on. Hata Sisi hatuwezi Shindwa kujenga BRT but mko humu kila siku mkitupigia Kelele eti hatuna.
Unafikiri BRT sawa na kula githeri? BRT ni system na co kila nchi ita afford kujenga brt system, kwahiyo unajaribu kulinganisha ujenzi wa BRT na ujenzi wa screen [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sisi already tunajenga BRT, nyinyi mmeweka screen?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Alafu uache ushamba. Ni wewe unatoa majibu ya class one chuo kikuu. Hiyo sio screen tuu Bali ni AI system inadetect magari zikikaribia stage na kuonyesha yako na muda mgani kabla yafike ikitumia special detectors zitakazowekwa kwa sections Fulani za barabara alafu screen niya kudisplay tu. System yenyewe inadetect registration ya Gari na kudisplay kwenye screen. Hapo ndani ya stage yataonyesha Gari lipi linaload na lipi linaondoka na kutengeneza queue ya magari kuload. Lakini kwa mshamba kama wewe unaona kama ni TV ndio maana unaniletea screens za advertisement hapa ukidhania ni kitu same. Kweli wabongo mko nyuma.
Iko wapi iyo BRT [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wameona vitu vya kisasa mpka wameanza kuona donge, sai wamebaki na picha zile zao za shades(brt)
 
Jamani Watz oneni kitu alichoenda kuzindua uhunye, yn raia wanamtesa kweli kweli raisi wao, wanataka bridge km ya kigamboni rais wao kawawekea Likoni flopping bridge, raia wanataka bus terminals km za Tanzania yeye kawazindulia huu utopolo hapa, oneni viti vya mbao full mkoloni[emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]
Screenshot_20210401-221736.jpg
 
Wakenya tunawatesa kweli kweli, pambaneni msifikiri haya yanajiotea tu, hebu oneni quality, just compare and contrast even if you are a Kenyan just give ur opinion frankly [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210401-221736.jpg
Screenshot_20210401-221723.jpg
JamiiForums1703197920.jpg
JamiiForums-1923026857.jpg
JamiiForums212364309.jpg
JamiiForums-1071430658.jpg
 
Watu wameona vitu vya kisasa mpka wameanza kuona donge, sai wamebaki na picha zile zao za shades(brt)
Nacheka jinsi wanvyobadilidha magoli tu. Huyu anakuja na hiki, mwengine anakuja na hiki. Ni kubaya mzae, Kanairo inatesa kutesa, tegea Expressway ikam through wataskia kujimurder. 🤣 🤣
 
Weka picha wacha maneno [emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji86][emoji86][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji2781][emoji117][emoji1241][emoji117][emoji375]
 
Uzi umeishiwa pumzi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji86][emoji86]
 
K = Kenya

E = Enters

N = New

Y = Year

A = As one of the most poorest countries in the world [emoji116][emoji116][emoji117][emoji117][emoji3][emoji3][emoji90][emoji90]
Screenshot_20210129-154017.jpg
 
Kuna mtu anateseka balaa walai, mpka naskia raha..hawaamini kuona ya kwamba stendi watu wanatumia AI systems wao bado wamekomali mi shades ya brt tu[emoji23][emoji23]..

Kwao stendi ni shades tu km vile kuku
 
Back
Top Bottom