The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Hata mngeweka nini hapo lkn ni kwamba huwezi kufananisha hv vituo viwili bhn [emoji3][emoji3]Kuna mtu anateseka balaa walai, mpka naskia raha..hawaamini kuona ya kwamba stendi watu wanatumia AI systems wao bado wamekomali mi shades ya brt tu[emoji23][emoji23]..
Kwao stendi ni shades tu km vile kuku
Kuona ni kuamini, hata km ni uzalendo ndio ufananishe shubiri na asali?[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]