Green Park Bus Terminal

Green Park Bus Terminal

Nicxie umeona stand zetu za kawaida ambazo co za BRT?
Stand zetu za brt bado zinajengwa and most of them are still in design stage. Ngoja zikamilike kisha uuje ulinganishe na hizo matapishi zenu. Kwa sasa tunazungumzia Bus terminal, not brt
 
I'm telling you. Just check up Google, back when Archives building used to be a Bank.
Kaka hawa wala usipate nao tabu sisi ndiyo huwa tunawaweza hawa, wewe ni mkenya msema kweli km Tony ss watakutenga humu, hawapendi ukweli hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Stand zetu za brt bado zinajengwa and most of them are still in design stage. Ngoja zikamilike kisha uuje ulinganishe na hizo matapishi zenu. Kwa sasa tunazungumzia Bus terminal, not brt
BRT iko wapi, ichoboy01 njoo huku kaanza tena kuongopa huyu mkunya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unasumbuka yani wewe mtanganyika. Unataka nasi pia tuweke solar panels kama mlivyofanya na ile stendi yenu uchwara?
Hehehehee umepanic mpk unanitenga na Tanzania [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unasumbuka yani wewe mtanganyika. Unataka nasi pia tuweke solar panels kama mlivyofanya na ile stendi yenu uchwara?
Hawajui ziko na illuminated ceilings. Yanni high quality ambient lighting
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] umeona huyo tost hapo juu vile amefloat?
Hahahaha wewe unanijua au unaniskia, kiumbe pekee anaeweza kunistopisha mm ni mTz na sio mtu mwingine mana Watz bhn ni magenius, huwawezi kwa maneno na mipango yn hawawezekani, ila nyie wakenya ni weupe mnoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sisi Watz tunajuana vzr, huwa kuna nyuzi mm mwenyewe sigusi mana najua kuna vitasa vya 5g ila co nyie wakenya wa humu Jf au wa twitter, ni weupe sn [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
 
I'm telling you. Just check up Google, back when Archives building used to be a Bank.
Hzi ndio za maana sio
images.jpeg-48.jpg
 
Back
Top Bottom