Grinder mashine na welding machine vinauzwa

Grinder mashine na welding machine vinauzwa

Dynamics

Senior Member
Joined
Feb 2, 2024
Posts
159
Reaction score
194
Habari wadau.


Mali tajwa hapo juu zinauzwa. Bado zipo katika hali ya upya maana zimetumika mara moja tu na baada ya mradi kukamilika hazihitajiki tena hivyo nataka kubadilisha walau nirudishe pesa kidogo zinisaidie kwenye mambo mengine.


Kwa mwenye uhitaji namkaribisha sana.

Grinder
Angle grinder aina ya MAKITA
Inchi 9

Watts 2200

GA9020

Mashine ya kuchomea

Aina ya Edon

ARC 630s


Vyote hapo juu vimekamilika ni viambata vyake vyote (accessories) .

Nauza vyote kwa pamoja kwa bei ya 750000/= Tu.


Hata kama wewe siyo fundi ushauri wangu unaweza kununua hizi mashine na kufungua ofisi yako kisha ukamkabidhi fundi akawa anakulipa, au kama una fundi muaminifu unaweza kumkodishia akawa anakulipa, kwa mfano siku moja kukodisha mashine zote hizi mbili kwa pamoja haiwezi kuwa chini ya shilingi 15000.

Karibuni.

Muhitaji naomba tuwasiliane

IMG_20240913_075134.jpg

IMG_20240913_075123.jpg


IMG_20240913_075231.jpg

IMG_20240913_075408.jpg

IMG_20240913_075734.jpg

IMG_20240913_075811.jpg

IMG_20240913_075910.jpg

IMG_20240913_080127.jpg
IMG_20240913_075910.jpg
 
500k inakulipa mkuu..!?
500000 nayo ni pesa mkuu lakini kwa hali ya mashine hizi ni kama mpya kabisa, nimezitumia kwenye mradi mara moja na kuzifungia ndani. Hazijafikisha hata mwezi mmoja wa matumizi. Hebu ongeza ongeza kidogo nikuachie mali ukapige kazi kaka
 
Dah! Umenikumbusha mbali, ila wadau watakuja tu
 
Hii si ofisi kamili kabisa?
Sasa mtaalam, wewe umeshindwa kupata vijana uwakadhi mouge pesa au kuwa unazikodisha?

Jibu litasaidia kupata uelewa mpana wa fursa zinazoambatana na hivi vitendea kazi.
 
Hii si ofisi kamili kabisa?
Sasa mtaalam, wewe umeshindwa kupata vijana uwakadhi mouge pesa au kuwa unazikodisha?

Jibu litasaidia kupata uelewa mpana wa fursa zinazoambatana na hivi vitendea kazi.
Kwa mtu muelewa kama wewe hii ni ofisi iliyokamilika kabisa mkuu.

Kwa mazingira niliyopo kwa sasa na uhitaji wa fedha haviniruhusu kuendelea kukaa na hizi mali kwani nina uhitaji wa fedha niweze kukamilisha masuala mengine, ngoja niwapasie na wengine nao wakachakarike
 
500000 nayo ni pesa mkuu lakini kwa hali ya mashine hizi ni kama mpya kabisa, nimezitumia kwenye mradi mara moja na kuzifungia ndani. Hazijafikisha hata mwezi mmoja wa matumizi. Hebu ongeza ongeza kidogo nikuachie mali ukapige kazi kaka
Sio kwa ubaya mkuu ila hyo welding machine SI Bora sana ndo maana nkaomba kwa Bei hyo stability yake sio kubwa ki hivyo

Ntumie namba tuwasiliane kama huyo jali
 
Sio kwa ubaya mkuu ila hyo welding machine SI Bora sana ndo maana nkaomba kwa Bei hyo stability yake sio kubwa ki hivyo

Ntumie namba tuwasiliane kama huyo jali
Mkuu hizi ndiyo mashine za kisasa zinazotumika sana wakati huu, kuanzia unafuu wake kwenye matumizi ya umeme alafu hii upo huru kufanya nayo kazi mazingira yoyote.

Bei niliyotoa ni ya kiuungwana kabisa
 
Habari wadau.


Mali tajwa hapo juu zinauzwa. Bado zipo katika hali ya upya maana zimetumika mara moja tu na baada ya mradi kukamilika hazihitajiki tena hivyo nataka kubadilisha walau nirudishe pesa kidogo zinisaidie kwenye mambo mengine.


Kwa mwenye uhitaji namkaribisha sana.

Grinder
Angle grinder aina ya MAKITA
Inchi 9

Watts 2200

GA9020

Mashine ya kuchomea

Aina ya Edon

ARC 630s


Vyote hapo juu vimekamilika ni viambata vyake vyote (accessories) .

Nauza vyote kwa pamoja kwa bei ya 750000/= Tu.


Hata kama wewe siyo fundi ushauri wangu unaweza kununua hizi mashine na kufungua ofisi yako kisha ukamkabidhi fundi akawa anakulipa, au kama una fundi muaminifu unaweza kumkodishia akawa anakulipa, kwa mfano siku moja kukodisha mashine zote hizi mbili kwa pamoja haiwezi kuwa chini ya shilingi 15000.

Karibuni.

Muhitaji naomba tuwasiliane

View attachment 3094645
View attachment 3094646

View attachment 3094648
View attachment 3094650
View attachment 3094653
View attachment 3094655
View attachment 3094657
View attachment 3094658View attachment 3094657
Ushauri wangu;
Ukiuza bei poa utauza:
Makita dukani, mpya na org ni 350k
Edon mpya dukani ni 350k
Jumla 700k.
 
Ushauri wangu;
Ukiuza bei poa utauza:
Makita dukani, mpya na org ni 350k
Edon mpya dukani ni 350k
Jumla 700k.
Mkuu bei niliyonunulia naijua na ninafahamu kwanini nikauziwa kwa bei husika.

nimepokea ushauri wako , lakini naomba nielekeze duka ambalo nitauziwa hizo mashine kwa bei hiyo uliyoisema
 
Ushauri wangu;
Ukiuza bei poa utauza:
Makita dukani, mpya na org ni 350k
Edon mpya dukani ni 350k
Jumla 700k.
Kiongozi@ Glenn; vitu vya umeme (Electronics)vinahitaji utaalam kidogo kabla ya kuchangia
Ukisema Makita ni 350k; unatakiwa uweke na specification za hiyo Makita kwani makita ni jina tu kama mfano useme Simu ya Samsung (ujue kuna simu ya samsung ya shs 320,000 lakini pia zipo Simu za Samsung za hadi shs million 3; na hata kwa Edon ni hivyo hivyo
Yeye ameweka picha yenye model, hivyo unaweza kui google, ukajua specification zake. Wewe ungetoa spec au ungeambatanisha picha, tungeona
 
Mkuu bei niliyonunulia naijua na ninafahamu kwanini nikauziwa kwa bei husika.

nimepokea ushauri wako , lakini naomba nielekeze duka ambalo nitauziwa hizo mashine kwa bei hiyo uliyoisema

Kiongozi vitu vya umeme (Electronics)vinahitaji utaalam kidogo kabla ya kuchangia
Ukisema Makita ni 350k; unatakiwa uweke na specification za hiyo Makita kwani makita ni jina tu kama mfano useme Simu ya Samsung (ujue kuna simu ya samsung ya shs 320,000 lakini pia zipo Simu za Samsung za hadi shs million 3; hivyo hivyo kwa kwa Edon...bila specification watu wanaojua umeme wataona huna jipya
Yeye ametoa hizo speci...?
Bahati mbaya unaongea na mtu anayejua anachokisema....kama unataka elimu sema tu
 
Kiongozi vitu vya umeme (Electronics)vinahitaji utaalam kidogo kabla ya kuchangia
Ukisema Makita ni 350k; unatakiwa uweke na specification za hiyo Makita kwani makita ni jina tu kama mfano useme Simu ya Samsung (ujue kuna simu ya samsung ya shs 320,000 lakini pia zipo Simu za Samsung za hadi shs million 3; hivyo hivyo kwa kwa Edon...bila specification watu wanaojua umeme wataona huna jipya
Jaribu kusoma vizuri nimeelezea specification zake mkuu
 
Habari ya asubuhi waungwana. Mali bado ipo

Karibuni sana
 
Back
Top Bottom