Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Group Admin kuwa na uwezo wa kufuta jumbe kwenye group la WhatsApp.
Mtandao wa WhatsApp kufanya maboresho na kuruhusu kiongozi wa kikundi (Group Admin) uwezo wa kufuta jumbe kwenye kikundi.
Hivyo group Admin atakuwa na uwezo wa kudhibiti mijadala kwenye group boresho hili WhatsApp wamepanga kulitoa mwakani.
Hivyo admin atakuwa na uwezo wa kufuta jumbe zilizo tumwa ndani ya siku saba, pia Admin atakuwa na uwezo wa kufuta hata ujumbe ulio tumwa na Admin mwingine
Ujumbe utakao futwa utafutika kwa watumiaji wote kwenye kundi na utakuwa na maneno yanayo someka "This was removed by an admin"
Maboresho haya yataanza kutumika siku yeyote kwa sasa bado hayapatikani
Mtandao wa WhatsApp kufanya maboresho na kuruhusu kiongozi wa kikundi (Group Admin) uwezo wa kufuta jumbe kwenye kikundi.
Hivyo group Admin atakuwa na uwezo wa kudhibiti mijadala kwenye group boresho hili WhatsApp wamepanga kulitoa mwakani.
Hivyo admin atakuwa na uwezo wa kufuta jumbe zilizo tumwa ndani ya siku saba, pia Admin atakuwa na uwezo wa kufuta hata ujumbe ulio tumwa na Admin mwingine
Ujumbe utakao futwa utafutika kwa watumiaji wote kwenye kundi na utakuwa na maneno yanayo someka "This was removed by an admin"
Maboresho haya yataanza kutumika siku yeyote kwa sasa bado hayapatikani