japhet nkwabi Member Joined Mar 8, 2013 Posts 91 Reaction score 15 Jun 9, 2013 #1 Wataalamu nisaidieni kuhusu tetesi za mtu mwenye damu group o postive kuwa ni ngumu kunasa maambukizi ya vvu, msaada plz
Wataalamu nisaidieni kuhusu tetesi za mtu mwenye damu group o postive kuwa ni ngumu kunasa maambukizi ya vvu, msaada plz
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Jun 9, 2013 #2 Ukishajua? Unataka ukaloweke kila mahali?
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Jun 9, 2013 #3 Anapata HIV kubwa tumia kinga muda wote kamba unaweza loweka lakini ukajuta bure.
Ben Mugashe JF-Expert Member Joined Oct 9, 2008 Posts 999 Reaction score 617 Jun 9, 2013 #4 King'asti said: Ukishajua? Unataka ukaloweke kila mahali? Click to expand... Yaani mm napenda sana comments zako
King'asti said: Ukishajua? Unataka ukaloweke kila mahali? Click to expand... Yaani mm napenda sana comments zako
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Jun 9, 2013 #5 Ben Mugashe said: Yaani mm napenda sana comments zako Click to expand... Acha kujipendekeza. Ntashangaa akikupa kwa gia izo.
Ben Mugashe said: Yaani mm napenda sana comments zako Click to expand... Acha kujipendekeza. Ntashangaa akikupa kwa gia izo.
M Maubero JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 1,529 Reaction score 483 Jun 9, 2013 #6 Wewe una group O positive? Kuna wagonjwa ninawafahamu, labda nikuunganishe nao muanze mahusiano halafu utatusimulia baada ya mwaka mmoja.
Wewe una group O positive? Kuna wagonjwa ninawafahamu, labda nikuunganishe nao muanze mahusiano halafu utatusimulia baada ya mwaka mmoja.