Group O positive

Group O positive

japhet nkwabi

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
91
Reaction score
15
Wataalamu nisaidieni kuhusu tetesi za mtu mwenye damu group o postive kuwa ni ngumu kunasa maambukizi ya vvu, msaada plz
 
Anapata HIV kubwa tumia kinga muda wote
kamba unaweza loweka lakini ukajuta bure.
 
Wewe una group O positive?
Kuna wagonjwa ninawafahamu, labda nikuunganishe nao muanze mahusiano halafu utatusimulia baada ya mwaka mmoja.
 
Back
Top Bottom