Grow your business

Grow your business

Uyana

Member
Joined
Jul 11, 2018
Posts
14
Reaction score
4
With ISO 9001:2015 you are ahead of others
IMG-20250108-WA0073.jpg
 
Toa maelezo hiki ni nini?
Ni utaratibu wa kuifanya biashara/kampuni yako iwe na viwango vya kimataifa kwa upande wa ubora kwenye menejimenti. Viwango hivyo.vinakupa faida tajwa hapo juu pamoja na zingine nyingi.
ISO 9001 inakuwezesha kuendesha biashara yako kikanuni bila kutegemea utashi wa mtu mmoja mmoja hasa kwenye kufanya maamuzi ya kimkakati.
 
Ni utaratibu wa kuifanya biashara/kampuni yako iwe na viwango vya kimataifa kwa upande wa ubora kwenye menejimenti. Viwango hivyo.vinakupa faida tajwa hapo juu pamoja na zingine nyingi.
ISO 9001 inakuwezesha kuendesha biashara yako kikanuni bila kutegemea utashi wa mtu mmoja mmoja hasa kwenye kufanya maamuzi ya kimkakati.
Ndugu yangu, hivi hivyo ndivyo unavyofanya presentation ya product ya kampuni na kutaka kuiuza kwa watu?
 
Ndugu yangu, hivi hivyo ndivyo unavyofanya presentation ya product ya kampuni na kutaka kuiuza kwa watu?
Sio product ya kampuni mkuu. Wala hiyo/hizo standard haimilikiwi/hazimilikiwi na mtu.

Ni huduma au hitaji ambalo kampuni yako inafaa kuwa nayo.
Muhimu uwe na kampuni ambayo angalau ina mifumo kadhaa ya kiuendeshaji (departments and processes). Sasa ukitualika kwenye kampuni yako ndio utapata wasaa wa kujua angalau vya kutosha hiyo QMS ni kitu gani (via presentation)
 
Back
Top Bottom