- Thread starter
- #21
Nakazia..atume picha hata ya mkono[/QUOTi
picha nimeshindwa weka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia..atume picha hata ya mkono[/QUOTi
picha nimeshindwa weka
Tatizo ni shida kupatikanaWaungwana nawasalim wote, nikiwa dada ninaependa urembo, nimeona si vyema kuacha kuwajuza hili wapenda urembo wenzangu.
ni kuhusu grycelin Ya Zambia, kiukweli ninawashauri wote mnaopenda ngozi zenu ziwe na mng'ao amazing namaanisha kung,'as bila kujichubua, basi niwashaur mtumie Aina hii kutoka Zambia.
kiukweli nineamini wadada tunatumia gharama nyingi nyingi ili kupata mafuta au lotion za kupendezesha ngozi zetu especially Wale wasiopenda kujichubua Kama Mimi, but unaweza ukatumia kitu kwa bei rahisi na ukapendeza mpaka kila mtu akakuuliza unapaka nn.
naomba nitoe ushuhuda wa hii kitu, toka nimeanza kutumia hii ni wiki ya Tatu but ngozi yangu ya mwili mzima imekua na rangi moja, yaani Nimeng'aa hadi nimejipenda mwenyewe, yaan watu walokuwa wanaifahamu ngozi yangu wananiuliz ninachotuMia nikiwaambia hawaamini.
before nilikuwa napaka mwilini kasoro usoni nikaanza kuona ngozi ya mwili wangu imekuwa laini na nyororo nikasema nijaribu na usoni, but nilikuwa na mashaka coz Mimi Nina ngozi ya mafuta, hivo nikipaka usoni. Naweza tokea chunusi, chaajabu nimekuwa mrembo hadi najiogopa yaan nimeacha kupaka lotion napaka tu hii grycelin mwili mzima ,yaan ngoz inakuwa Kama ya mtoto mdogo.
poleni kwa mgazeti Kama wote, nimeona si vibaya nikishare na wapenda urembo wwnzangu. Zinaoatikana maduka ya vifaa vya watoto au pharmacy Mara nyingi. Polen kwa kuwachosha,.
Ahsanteeeepicha nimeshindwa kuweka dear, bei ni ya kawaida,ndogo Kabisa ni elfu mbili, jina imendikwa to glycerin, made from Zambia,, cha muhimu ukifika dukan uliza glyceline ya Zambia,.
mahali zinapouzwa nilisema kwenye post huko juu ni maduka ya dawa, Au wanapouza vifaa vya watoto wachanga. kwenye maduka ya vipodoz nimetafuta Sana Hawanna.
Aisee hapo ni wapi hizo IMPERIAL 100?Unapiga promo naona,hii ya Tanzania natumia toka ujana wangu hd leo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 834039
Msumbiji, hiyo ni 100 mitacais.Aisee hapo ni wapi hizo IMPERIAL 100?
wasiwasi wako tu ndugu, we tangaza biashara ya duka,,ingekuwa promo ningeweka Namba yangu wanitafute but sijaweka, na nImewapa name s ehemu wanazoweza kupata,.Unapiga promo naona,hii ya Tanzania natumia toka ujana wangu hd leo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 834039
Tatizo ni shida kupatikana
Unahangaika kutafuta ikikuishia
Lkn ni kweli nzuri sana nami nilishawahi kuitumia
Sema Tabora nasikia zinapatikana kiulainini kweli, Mimi mwwnyewe sehemu nilipo nimehangaika Sana kupata, nikabahatika kupata duka Moja
Kwa nn tabora ni rahisi kuliko mikoa mingine?Sema Tabora nasikia zinapatikana kiulaini
picha nimeshindwa kuweka dear, bei ni ya kawaida,ndogo Kabisa ni elfu mbili, jina imendikwa to glycerin, made from Zambia,, cha muhimu ukifika dukan uliza glyceline ya Zambia,.
mahali zinapouzwa nilisema kwenye post huko juu ni maduka ya dawa, Au wanapouza vifaa vya watoto wachanga. kwenye maduka ya vipodoz nimetafuta Sana Hawanna.
Wow hongera sipati picha ulivo nga'ra, yan Mimi nimekuwa na ngozi Kama ya mtotoni n nimepata mng'ao Kama WA mtu mwenye PESA, najuta nilikuwa wapi kuifahamu Mapema na. nimeng'ara .ni kweli kbs!ni gylcylene nzuri sana hata mm natumia hyo sasa hv !
nzuri sana ! yeah nimesoftikaaaaaWow hongera sipati picha ulivo nga'ra, yan Mimi nimekuwa na ngozi Kama ya mtotoni n nimepata mng'ao Kama WA mtu mwenye PESA, najuta nilikuwa wapi kuifahamu Mapema na. nimeng'ara .
Na kapicha basi ili tuelewe sanaWaungwana nawasalim wote, nikiwa dada ninaependa urembo, nimeona si vyema kuacha kuwajuza hili wapenda urembo wenzangu.
ni kuhusu grycelin Ya Zambia, kiukweli ninawashauri wote mnaopenda ngozi zenu ziwe na mng'ao amazing namaanisha kung,'as bila kujichubua, basi niwashaur mtumie Aina hii kutoka Zambia.
kiukweli nineamini wadada tunatumia gharama nyingi nyingi ili kupata mafuta au lotion za kupendezesha ngozi zetu especially Wale wasiopenda kujichubua Kama Mimi, but unaweza ukatumia kitu kwa bei rahisi na ukapendeza mpaka kila mtu akakuuliza unapaka nn.
naomba nitoe ushuhuda wa hii kitu, toka nimeanza kutumia hii ni wiki ya Tatu but ngozi yangu ya mwili mzima imekua na rangi moja, yaani Nimeng'aa hadi nimejipenda mwenyewe, yaan watu walokuwa wanaifahamu ngozi yangu wananiuliz ninachotuMia nikiwaambia hawaamini.
before nilikuwa napaka mwilini kasoro usoni nikaanza kuona ngozi ya mwili wangu imekuwa laini na nyororo nikasema nijaribu na usoni, but nilikuwa na mashaka coz Mimi Nina ngozi ya mafuta, hivo nikipaka usoni. Naweza tokea chunusi, chaajabu nimekuwa mrembo hadi najiogopa yaan nimeacha kupaka lotion napaka tu hii grycelin mwili mzima ,yaan ngoz inakuwa Kama ya mtoto mdogo.
poleni kwa mgazeti Kama wote, nimeona si vibaya nikishare na wapenda urembo wwnzangu. Zinaoatikana maduka ya vifaa vya watoto au pharmacy Mara nyingi. Polen kwa kuwachosha,.