GSM aahidi mil 60 kila mchezaji kama yanga ikitwaa ubingwa CAFCC

Ungesema "akiongea kwa mara ya kwanza". Maaba jamaa huwa hasikiki akiongea huyo
 
Ni yale yale Yanga akishida atapewa $2m na CAF kama zawadi kwa bingwa, ni sawa sawa na 4.6bn Tshilling, toa pesa ya wachezaji wote wa yanga atakao pewa hiyo 60m = ni 24×60= 1.4bn salio ni 3bn bado atapata faida mpira ni mahesabu. Capitalist hawezi kufanya hasara.
 
GSM sio mwekezaji, GSM ni sponsor!
 
Taifa Stars kwani tuliahidiwa bei gani tukimfunga Uganda?

Steve Nyerere leo hii anajitaji ahadi ya bei gani kama motisha ili aweze kushinda pambano lake dhidi ya Tyson?
Taifa Stars Kichwa cha mwendawazimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…