GSM aahidi mil 60 kila mchezaji kama yanga ikitwaa ubingwa CAFCC

GSM aahidi mil 60 kila mchezaji kama yanga ikitwaa ubingwa CAFCC

Tajiri Asiye Bahili & Mwenye roho safi leo mchana amepata fursa ya kuzungumza na wachezaji kielekea mchezo wa kwanza wa fainali ya CAFCC.

Katika Kikqao hiko kifupi Ameahidi wachezaji kwamba kila mchezaji atajipatia zawadi ya USD 30,000 Endapo Klabu ikifanikiwa kutwaa taji la CAFCC Msimu huu.

Pesa hizo ambazo zitatikana na ushindi wa taji hilo ni sawa na asilimia 47% ya jumla ya pesa ambazo klabu itapata baada ya kushinda hilo taji.

Aidha Boss GSM amewahikikishia wachezaji kuwa endapo wakishinda tajo hilo msimu huu basi kuna mpango wa zawadi kubwa ambaao ameuandaa kwa kila mchezaji katika msimu mpya wa CAF utakao anza wakati ujao.

View attachment 2635648

Hii ni BONUS kubwa sana kuwahi kuahidiwa kwa wachezaji katika historia ya mpira wa miguu Tanzania.
Inanikumbusha ile ya mwaka 1993 kati ya Simba na Stella Abdijan. Mdhamini anaahidi kila mchezaji gari aina ya KIA, then baadae Mdhamini anawafata pembeni beki mmoja na kipa anawaambia ahadi haitekelezeki kwa wachezaji wote, jifungisheni nyie wawili tutawapa KIA mbili mbili. Ndivyo inavyokuwa.
 
Inanikumbusha ile ya mwaka 1993 kati ya Simba na Stella Abdijan. Mdhamini anaahidi kila mchezaji gari aina ya KIA, then baadae Mdhamini anawafata pembeni beki mmoja na kipa anawaambia ahadi haitekelezeki kwa wachezaji wote, jifungisheni nyie wawili tutawapa KIA mbili mbili. Ndivyo inavyokuwa.
Ni ya kweli mkuu
 
Tajiri Asiye Bahili & Mwenye roho safi leo mchana amepata fursa ya kuzungumza na wachezaji kielekea mchezo wa kwanza wa fainali ya CAFCC.

Katika Kikqao hiko kifupi Ameahidi wachezaji kwamba kila mchezaji atajipatia zawadi ya USD 30,000 Endapo Klabu ikifanikiwa kutwaa taji la CAFCC Msimu huu.

Pesa hizo ambazo zitatikana na ushindi wa taji hilo ni sawa na asilimia 47% ya jumla ya pesa ambazo klabu itapata baada ya kushinda hilo taji.

Aidha Boss GSM amewahikikishia wachezaji kuwa endapo wakishinda tajo hilo msimu huu basi kuna mpango wa zawadi kubwa ambaao ameuandaa kwa kila mchezaji katika msimu mpya wa CAF utakao anza wakati ujao.

View attachment 2635648

Hii ni BONUS kubwa sana kuwahi kuahidiwa kwa wachezaji katika historia ya mpira wa miguu Tanzania.
Kila laheri Uto...
 
HIZI AHADI HIZI!!!!!! ?? Isije ikatokea mwaka 1993 tajiri mmoja uchwara aliwaahidi wachezaji Kila mmoja HIACE wakitwaa ubingwa, akidhani kuwa hawataweza. Walipokwenda ugenini Ivory coast wakajikakamua na uwezekano wa kutwaa ubingwa ukawa mkubwa. Tajiri uchwara huyo pressure ikapanda. Ikabidi ahujumu mechi ya marudiano kwa kuwahonga mabeki wake na kipa ili wafungwe.
Ni enzi zili kilikuwepo bia maarufu iitwayo STELLA ARTOIS .

Siku ya marudiano Kila mtu alishangaa jinsi timu hiyo kutoka abijdan ilivyowasokota timu hiyo yenye mbwembwe nyingi lakini ni shamba la bibi la watu wenye asili ya Bara la Asia
 
HIZI AHADI HIZI!!!!!! ?? Isije ikatokea mwaka 1993 tajiri mmoja uchwara aliwaahidi wachezaji Kila mmoja HIACE wakitwaa ubingwa, akidhani kuwa hawataweza. Walipokwenda ugenini Ivory coast wakajikakamua na uwezekano wa kutwaa ubingwa ukawa mkubwa. Tajiri uchwara huyo pressure ikapanda. Ikabidi ahujumu mechi ya marudiano kwa kuwahonga mabeki wake na kipa ili wafungwe.
Ni enzi zili kilikuwepo bia maarufu iitwayo STELLA ARTOIS .

Siku ya marudiano Kila mtu alishangaa jinsi timu hiyo kutoka abijdan ilivyowasokota timu hiyo yenye mbwembwe nyingi lakini ni shamba la bibi la watu wenye asili ya Bara la Asia
Azim Dewj alikuwa muhuni.

Kipindi hiko paarticipation prize ilikuwa USD 0.

Ilikuwa haina uhalisia.




Ahad ya GSM ina uhalisia kwa kuwa. Ame ahidi kutoa pesa kwenye kikapu cha champion prize.
 
Tofauti ni ipi? Sponsor hategemee returns? Au we unafikiri ana donate tu.
Sportpesa ni sponsor wa Yanga SC.

Ni kiasi gani cha pesa ambacho Yanga sc watamgawia Sportpesa?

Ukiachana na returns ya "mileage"
 
Kwenye kikosi cha kwanza cha utopolo watanzania wapo wangapi
Kabla ya kujua idadi ya wazawa.

Jiulize Klabu ya yanga sc inatokea nchi gani?

Ukipata jibu, huto uliza uraia wa wachezaji.
 
Tajiri Asiye Bahili & Mwenye roho safi leo mchana amepata fursa ya kuzungumza na wachezaji kielekea mchezo wa kwanza wa fainali ya CAFCC.

Katika Kikqao hiko kifupi Ameahidi wachezaji kwamba kila mchezaji atajipatia zawadi ya USD 30,000 Endapo Klabu ikifanikiwa kutwaa taji la CAFCC Msimu huu.

Pesa hizo ambazo zitatikana na ushindi wa taji hilo ni sawa na asilimia 47% ya jumla ya pesa ambazo klabu itapata baada ya kushinda hilo taji.

Aidha Boss GSM amewahikikishia wachezaji kuwa endapo wakishinda tajo hilo msimu huu basi kuna mpango wa zawadi kubwa ambaao ameuandaa kwa kila mchezaji katika msimu mpya wa CAF utakao anza wakati ujao.

View attachment 2635648

Hii ni BONUS kubwa sana kuwahi kuahidiwa kwa wachezaji katika historia ya mpira wa miguu Tanzania.
Huu ndiyo mwanzo wa kuikwamisha yanga kuchukua ubingwa.

Hawa mbwa huahidi wakijua timu haiyaweza kushinda. Ikishinda mechi ya kwanza tu, watatafuta namna ya kuiangusha ili wasitoe hayo mamilioni.

Kama itakumbukwa, simba wakiahidiwa hyundai. Kilichofuata baada ya simba kutoa sare ugenini ni kuhakikisha inafungwa nyumbani.

Tusubiri tuone hiyo 60m kwa kila mchezaji kama itatoka.
 
Ni yale yale Yanga akishida atapewa $2m na CAF kama zawadi kwa bingwa, ni sawa sawa na 4.6bn Tshilling, toa pesa ya wachezaji wote wa yanga atakao pewa hiyo 60m = ni 24×60= 1.4bn salio ni 3bn bado atapata faida mpira ni mahesabu. Capitalist hawezi kufanya hasara.
Sema tu GSM sio bahili yanga imetumia zaidi ya bilioni 2 kusafiri sudan, tunisia, tunisia, mali, Nigeria, congo na south africa.

Kupigia kwamba GSM atapata faida kwenye 4.7 bilion kama atachukua ni kichekesho!!!

Football inalipa ila in long-run!! Ingekuwa hiyo mo asingekuwa bahili kama alivyo sasa
 
Tajiri Asiye Bahili & Mwenye roho safi leo mchana amepata fursa ya kuzungumza na wachezaji kielekea mchezo wa kwanza wa fainali ya CAFCC.

Katika Kikqao hiko kifupi Ameahidi wachezaji kwamba kila mchezaji atajipatia zawadi ya USD 30,000 Endapo Klabu ikifanikiwa kutwaa taji la CAFCC Msimu huu.

Pesa hizo ambazo zitatikana na ushindi wa taji hilo ni sawa na asilimia 47% ya jumla ya pesa ambazo klabu itapata baada ya kushinda hilo taji.

Aidha Boss GSM amewahikikishia wachezaji kuwa endapo wakishinda tajo hilo msimu huu basi kuna mpango wa zawadi kubwa ambaao ameuandaa kwa kila mchezaji katika msimu mpya wa CAF utakao anza wakati ujao.

View attachment 2635648

Hii ni BONUS kubwa sana kuwahi kuahidiwa kwa wachezaji katika historia ya mpira wa miguu Tanzania.
Hii Habari hasisikie USM ALGER 🤣🤣🤣🤣
 
Tajiri Asiye Bahili & Mwenye roho safi leo mchana amepata fursa ya kuzungumza na wachezaji kielekea mchezo wa kwanza wa fainali ya CAFCC.

Katika Kikqao hiko kifupi Ameahidi wachezaji kwamba kila mchezaji atajipatia zawadi ya USD 30,000 Endapo Klabu ikifanikiwa kutwaa taji la CAFCC Msimu huu.

Pesa hizo ambazo zitatikana na ushindi wa taji hilo ni sawa na asilimia 47% ya jumla ya pesa ambazo klabu itapata baada ya kushinda hilo taji.

Aidha Boss GSM amewahikikishia wachezaji kuwa endapo wakishinda tajo hilo msimu huu basi kuna mpango wa zawadi kubwa ambaao ameuandaa kwa kila mchezaji katika msimu mpya wa CAF utakao anza wakati ujao.

View attachment 2635648

Hii ni BONUS kubwa sana kuwahi kuahidiwa kwa wachezaji katika historia ya mpira wa miguu Tanzania.
30000usd sio powa
Huyu mwamba akitoa iyo pesa kwa hawa wachezaji baada kushinda kombe basi ajengewe sanamu
 
Back
Top Bottom