GSM aka Home Shopping Center (ya bandarini msiyalete kwenye football)

GSM aka Home Shopping Center (ya bandarini msiyalete kwenye football)

Kwani Magufuli kiboko ya mafisadi hakuwepo wakati GSM inatamalaki? Sasa hivi GSM ndie king of Tanzania -zambia -Congo road. Ndiye mzalishaji bora kabisa wa bidhaa hapa Tanzania. Achana na Mo anaesubiri Bakhresa atoe product Kisha yeye akopi.
GSM ilijijenga enzi ya JK wakati ikiitwa HSC wakati wa Magu waliufyata na ndiyo walibadilisha jina.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Baba jiesiemu shika hapohapo kuna watu wana mhaho huku😂😂
 
Back
Top Bottom