GSM azuiliwe kudhamini timu zinazo shikiriki CAF Champions League

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Mimi Jemedari wa mchongo naumia sana kuona GSM ananunua game. Jambo hili linaharibu ladha ya ligi.

GSM aliinunua Simba akaikanda 5, Azam 4, Vital'O 10, CBE 7. Tafadhali huyu adhibitiwe. Leo nasikia kanunua game ili Simba ipelekewe moto na Al Ahly Tripoli.

Kibaya zaidi kila nikimpigia simu kuuliza maswali ya maana Yeye anajibu YANGA BINGWA halafu anakata. Naumia mimi.

By Jemedari wa mchongo bin misumari.
 
Yanga Bingwa.
 
Janezari binti kachumbari
 
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu pole sana
 
yanga isipochukuliwa hatua na IDF kila timu akikutana nayo itaonekana kibonde hapa duniani
 
Hivi ni Vichekesho
 
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa....Jemedari wa Mchongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…