GSM inawadharau models wa Kitanzania? Why Zari?

Jichunguze mkuu,una roho mbaya tena imejaa ubaguzi na watu kama wewe ndio mnaosababisha dunia iwe mahali pabaya pa kuishi.
 
Kwahyo ulitaka afunguwe BINTI KIDOMO?tatizo la dada zetu wa kibongo heshima hawana,,,wao wanaona kuwa na msururu wa MADUME NDY UMAARUFU kumbe ni KASHFA TU
 
Kwahyo ulitaka afunguwe BINTI KIDOMO?tatizo la dada zetu wa kibongo heshima hawana,,,wao wanaona kuwa na msururu wa MADUME NDY UMAARUFU kumbe ni KASHFA TU
Yani kwakuwa Zari anatombeshea South Africa ndio unajitia upofu kwamba hatombeshi?

Hivi kwa akili yako Waganda wanaweza kumuita Mtanzania kufanya lounge ya duka lao? Mentality slave.
 
Ina maana hata Mimi hujanifollow?
 
Miye mwenyewe sijajifollow, kwa kifupi sijui hata inatumikaje, mimi ni yule tu dada wa Taifa ndiye kiumbe pekee hapa Tanzanian aliyeweza kunishawishi kumfollow.

Dah,basi tutasaidia jinsi ya kuitumia,mi takufollow wewe tu Dunia nzima
 
Hahahaha dah... nimecheka sana wallah...
 
Hakuna mtu anayetaka kufanya biashara ya hasara hata kidogo....hivyo kama mfanya biashara nitatumia means yoyote kutangaza biashara yangu....Hata kama ninauwezo wa kumtumia Beyonce nitamtumia...

What if hao GSM walilenga soko la Uganda kwa kumtumia Mganda.....Biashara ni ujanja....Leo ukiona bidhaa ya Kenya katumiwa Diamond kwenye matangazo lalizima utavutiwa kununua...

Ni ujinga eti kutokununua bidhaa kisa Zari kawekwa kwenye matangazo
 
Baba paroko umeshalewa divai asubuhi asubuhi, yani duka lifunguliwe Mlimani City kutarget wateja wa Uganda? Are u serious?
 
DUH KUMBE BADO WAJINGA WAPO!!! SIASA YA UJAMAA ILITUHARIBU SANA.DUKA SIO LAKO UNAWAPANGIA NINI.HIVI HATA KAMA UNA AKILI KATI YA ZARI NA WEMA AU ZARI NA GMONEY UNGEMWALIKA NANI.SASA HATA WEWE AMBAYE UMEJAA USHAMBA MBONA UMEJUA SASA KUWA KUNA DUKA LINAFUNGULIWA GSM.WAMWALIKE STEVE NYERERE KWANI WANAFUNGUA DUKA LA MITI SHAMBA.BONGO MOVIE KAMA WANASHINDWA KUUZA MOVIE ZAO WATAWEZAJE KUKUTANGAZIA BIASHARA YAKO.GSM HAJAWADHARAU WASANII WETU ILA WASANII WAMEJIDHAURISHA WENYEWE NA KUJISHUSHA THAMANI WENYEWE.ZARI NI BRAND KAMA HUJUI KAMA KAWEZA KUFUNGUA MADUKA YAKE HUKO AFRIKA KUSINI AMBAKO SIO ALIKOZALIWA NA AKAFANIKIWA ATASHINDWAJE KUWA BALOZI KWENYE NCHI YA MME WAKE.WATANZANIA TUBADIRIKE NA BIASHARA INAENDA KASI SANA TUKIBAKI NA MAWAZO MGANDO YA ENZI ZA UJAMAA TUTABAKI NYUMA SANA.
 
Na watanunuwa wenyewe bidhaa zao hatupendi dharau siye.

Hawa shenzi GSM ndio wakwepa kodi wakubwa kupitia ile kampuni yao ya Home shopping center, sasa wamejifanya kuifunga ile wameibukia huku, tutawamulika hukohuko.

Uzalendo kwanza.
Ndugu yngu gsm mall ya mcity so km kariakoo inawenyewe sidhan ww kususa unaeza kuwa na effect kwny biashara yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…