GSM ipewe vilabu vyote kudhamini ili Yanga iwe team bora katika Ligi

GSM ipewe vilabu vyote kudhamini ili Yanga iwe team bora katika Ligi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hizi teams ambazo hazidhamini na GSM huwa zinaiwekea sana ngumu Yanga. Na hasa kama hakuna wachezaji au kocha ambaye ni Yanga. Team inacheza kama vile inataka kupata sifa.

Mi nashauri ili tuendeleze ule ushindi wa 4,5,6 basi GSM apewe teams zote kudhamini. Maana kwenye huu umoja wa teams zinazodhaminiwa na GSM huwa mpira tunacheza vizuri bila kukamia.

Mi naona hayo tu.
 
Aanze na simba kabisa
1739266295288.jpeg
 
Hizi teams ambazo hazidhamini na GSM huwa zinaiwekea sana ngumu Yanga. Na hasa kama hakuna wachezaji au kocha ambaye ni Yanga. Team inacheza kama vile inataka kupata sifa.

Mi nashauri ili tuendeleze ule ushindi wa 4,5,6 basi GSM apewe teams zote kudhamini. Maana kwenye huu umoja wa teams zinazodhaminiwa na GSM huwa mpira tunacheza vizuri bila kukamia.

Mi naona hayo tu.
5-1 Mnadhaminiwa na GSM sio?
 
Mtazikumbuka sana zile 5 za simba awamu hii. Na bado maana kule CAF ligi umeishia makundi, umebakiza ligi kuu tu
Kwa ushauri tu ili mpunguze machungu, mtengeneze jezi kabisa za 5-1
Tunataka GSM apewe timu kwa kuanza na simba au wewe huoni mada inavyo taka?
 
Simba ndio timu iliyofungwa zaidi na Yanga kuliko timu yoyote katika Nchi hii ina maana na Simba inadhaminiwa na GSM.

Tutoe mechi zote ambazo Yanga alikutana na Simba wakati mdhamini GSM, Bado rekodi zinaonyesha Simba imegawa utamu kwa Yanga mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote Tanzania.
 
Manura, Baka, Baleke, Chama. Hawa walijaa kwenye mfumo vizuri. Na Simba wakatupa Baleke na Chama. Manura yupo benchi Inonga Simba walimwacha. Ile mbona inafahamika. Wewe tu ndo hukuwa unajua.
Unajitoa ufahamu.
 
Kocha Saed Ramovic amehojiwa kusema yupo kwenye timu inayocheza mechi za ushindani sio kwenye timu aliyotoka timu inafungwa inafurahia kufungwa na timu yake.
 
Back
Top Bottom