vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Super league bado sana, super league inaenda samba samba na mashindano ya msimu mpya wa mwaka 2023/2024 mwezi wa nane huko. Kuna mapumziko kati ya miezi kadhaaHaujui kuna mashindano ya wakubwa ya Super League yanakaribia?