Usione kuwa kuna ubaguzi hapo, mbona wamepita akina Manji na Azim, mbona hamkusema timu zimeingiliwa?
Huo unauleta ni ubaguzi aisee..Tenda haki kama wengine uone kama utasemwa.
Nadhani mkuu hapo utakuwa umeumia sana kuhusu hii ya GSM, ndo ukajikita kwenye Ubaguzi, lakini tafakari mbona kuna wadhamini wengine NBC, Azam Tv walishirikisha vilabu vyote na hakuna malalamiko?Mmetengenezewa chuki wenyewe kwa wenyewe kwani mnajiona basi kama kuna shida, mkichukiana wao kwao ni neema
20bilion kama share ya kanjibai ipo kwenye akaunti gani? Na bado anapokea gawio mmezubaishwaaa hata hamjuiNadhani mkuu hapo utakuwa umeumia sana kuhusu hii ya GSM, ndo ukajikita kwenye Ubaguzi, lakini tafakari mbona kuna wadhamini wengine NBC, Azam Tv walishirikisha vilabu vyote na hakuna malalamiko?
Wala sijaumia ila nawakumbusha tu kumbukeni simba ni yenu watanzania,Nadhani mkuu hapo utakuwa umeumia sana kuhusu hii ya GSM, ndo ukajikita kwenye Ubaguzi, lakini tafakari mbona kuna wadhamini wengine NBC, Azam Tv walishirikisha vilabu vyote na hakuna malalamiko?
Pia mbumbu siyo mimi by Rage.GSM na Yanga SC wamesahau kuwa Simba SC inaongozwa na CEO Mwerevu Barbara Gonzalez halafu kama haitoshi GSM na Yanga SC hawakusoma vyema Ripoti ya Utafiti iliyosema kuwa Simba SC ndiyo Klabu pekee Tanzania nzima inayoongoza kuwa na Mashabiki Wasomi, Makini na Vipanga hasa.
Nimemuonesha Aden Rage hii post yako amecheka hadi machozi.GSM na Yanga SC wamesahau kuwa Simba SC inaongozwa na CEO Mwerevu Barbara Gonzalez halafu kama haitoshi GSM na Yanga SC hawakusoma vyema Ripoti ya Utafiti iliyosema kuwa Simba SC ndiyo Klabu pekee Tanzania nzima inayoongoza kuwa na Mashabiki Wasomi, Makini na Vipanga hasa.
Kama walilenga timu zote why hao GSM wawatume akina Manara kuikejeri Simba live live namna Ile ?Kwani Contract yao walisema timu 15 au timu zote zinazoshiriki ligi kuu?
GSM Ni black people[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Timu yenu imeingiliwa na makanjibai mnajiona mna akili, ndiyo maana ilikua rahisi sana kumtawala muafriaka kiukoloni, maana wenyewe kwa wenyewe hampendani
Kwahiyo NBC wao waliingia mkataba ambao timu zote 15 logo ya NBC itakuwa na rangi nyekundu ila Utopolo wao ndio wlitakiwa wavae yenye rangi ya njano sio. Sikuzote nasema wanaoaribu soka letu ni washabiki, viongozi wao hawanashida wanajipigia tu pesa life lao na familia linaendeleaKwani Contract yao walisema timu 15 au timu zote zinazoshiriki ligi kuu?
Lililoshindwa kuingiza watoto wake kwenye VIP A siku ya derby yao.Babra ni lidude limoja likubwa fulani hivi
Alikosea tarakimu moja ya akaunt ya simba zikawekwa kwenye akaunt yako mkuu. Usiwaze , wewe kwa sasa ni bilionea.20bilion kama share ya kanjibai ipo kwenye akaunti gani? Na bado anapokea gawio mmezubaishwaaa hata hamjui
[emoji1787] [emoji1787] Hizi stress sasaAlikosea tarakimu moja ya akaunt ya simba zikawekwa kwenye akaunt yako mkuu. Usiwaze , wewe kwa sasa ni bilionea.
mkataba ni siri... au ww unao mkuu?Kwani Contract yao walisema timu 15 au timu zote zinazoshiriki ligi kuu?