GSM ni wababaishaji tu hawana lolote

NeNda wewe kawekeze
 
wewe ndiyo unachekesha sababu unaponda kitu usichokielewa.

Katika International Brands za Magodoro GSM ipo? Haya Magodoro fake ndiyo yawe Katika International level? Unaifahamu Sealy,,Maxpedic na nyinginezo! Utopolo mna kazi sana ya kutetea GSM,ndio maana hata minguo yao milonya unafua mara moja tu kwisha habari!
 
Reactions: Tui
acha kuchafua biashara za watu kisa usimba na uyanga! huo ushabiki umekuingizia kiasi gan wewe boya!
 
Vuta subira utajua GSM ni akina nani,kwa sasa jifurahishe,wakati ukifika utashangaa mwenyewe
Wabongo kwa kuishi kwa matumaini hamjambo.

No wonder baada ya miaka 60 bado mnaamini CCM italeta maendeleo.

Kumbuka.

🙂 Wali wa kushiba huonekana kwenye sahani.

🙂 Dalili ya mvua ni mawingu.
 
Jiwe hahusiki na figisu za mpira ,manji alikutana na kesi si kila kitu ni siasa
 
Jiwe hahusiki na figisu za mpira ,manji alikutana na kesi si kila kitu ni siasa
mkuu kuna watu wanamchafua sana Raisi wetu kwenye hii tasnia ya michezo, kuna hili neno wanajiita watu wa system, simba wanajitapa kuwa kuna watu wa system wanawasapoti pia pale TFF watu wanavurunda kila siku wanaachwa kwa kujificha kuwa wamewekwa na system!

Ifike mahala Raisi wetu achungulie huku kwenye soka, kuna watu wanajiona hawagusiki.
 
Mkuu ligi ya bongo imetawaliwa na Simba na Yanga,TFF hadi bodi ya ligi na kamati zake ,kwa maana kila term either Rais wa TFF awe simba au Yanga the same bodi ya ligi na kamati zake ,kumbuka wakati wa Jamal Malinzi alivyokuwa anaibeba Yanga na ndo wakati huo Manji yupo,the same sasa hivi kuna Karia ,hadi vilabu vingine kama azam humo humo kuna vichembe vya yanga na simba ,ukija kwa marefa ndo hivo hivo wanaendeshwa na mahaba ,soka ya bongo inaangalia ni nani ni Rais wa TFF kwa wakati huo
 
Hapa ndiyo panatakiwa mabadiliko! kama ikiendelea hivi hatutapata bingwa kwa haki, ningependa kuona timu bora ndiyo iwe bingwa haijalishi iwe Ihefu au namungo.
 
Hiyo system ni ngumu kuisha maana hata timu zingine zinaabudu simba na yanga
Hapa ndiyo panatakiwa mabadiliko! kama ikiendelea hivi hatutapata bingwa kwa haki, ningependa kuona timu bora ndiyo iwe bingwa haijalishi iwe Ihefu au namungo.
 
acha kuchafua biashara za watu kisa usimba na uyanga! huo ushabiki umekuingizia kiasi gan wewe boya!

Sasa kwani siyo kweli minguo yao ni lonya,unanunua t-shirt ya mtoto akivaa mara moja tu ukifua shingo inatanuka hadi mabegani! Zile Pyjamas sasa ni kituko! Hebu tupishe hapa Utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…