NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Jinga kabisa wewe kima.Watanzania tuna ujinga sana!! Kwenye branding na market yuko vizuri kwa kigezo kipi?!amesoma chuo gani?! Kabla ya MO kuja Simba kuwaleta wakina chama, Boko,manula,kapombe,bwalya n.k uyo manala haliwahi kufanya nn?! hapo Simba!! Huo ubora wake ulisubili MO afanye uwekezaji ndio uonekane?!! Tanzania wajinga hamtaisha
Wajinga hamuezi kuisha ndio watanzania wengi mlivyo ndio maana tumekwama hapa tulipo..tukana upunguze stress tozo na maisha yako magumu lazima uchanganyikiwe,shikilia mfuko wa shati vizuri usije kudondosha mia nne ya nauli ukalala kkoo shimoni.Jinga kabisa wewe kima.
Sasa je?Pale lazma asaini hela ndefu lazma wataona aibu kumpa ile ile 4M wanaweza mtia 7M kwa mwezi[emoji28][emoji28][emoji28]
Inauma sana unajua, inachoma sana unajua [emoji23]Nilivyoona utambulisho wa Manara sasa naamini hawa GSM hawana lengo la kuiendeleza Yanga ila ni wachumaji tu na lengo ni kuuza jezi za Yanga tu
Naona kabla ya msimu kuisha kuna timbwili litatokea utopoloniNilivyoona utambulisho wa Manara sasa naamini hawa GSM hawana lengo la kuiendeleza Yanga ila ni wachumaji tu na lengo ni kuuza jezi za Yanga tu
9.8 M = 14 times monthly payment that Manara was receiving at the Makelele FC [emoji847][emoji1732]Huko atalamba mshahara zaidi ya ule wa simba
Maneno ya mkosajiYanga walikuwa wanamsubiri morison na miquissone wamepewa manara
hahahahha
Makelele FC povu....[emoji16]Watanzania tuna ujinga sana!! Kwenye branding na market yuko vizuri kwa kigezo kipi?!amesoma chuo gani?! Kabla ya MO kuja Simba kuwaleta wakina chama, Boko,manula,kapombe,bwalya n.k uyo manala haliwahi kufanya nn?! hapo Simba!! Huo ubora wake ulisubili MO afanye uwekezaji ndio uonekane?!! Tanzania wajinga hamtaisha
[emoji16][emoji119]Wajinga hamuezi kuisha ndio watanzania wengi mlivyo ndio maana tumekwama hapa tulipo..tukana upunguze stress tozo na maisha yako magumu lazima uchanganyikiwe,shikilia vizuri mfuko wa shati vizuri usije kudondosha mia nne ya nauli ukalala kkoo shimoni.
Kama inauma chomoa...Msaliti ni msaliti tu muda utaongea, Leo yupo Yanga kwa sababu ya GSM
Kama inauma chomoaYanga walikuwa wanamsubiri morison na miquissone wamepewa manara
hahahahha
Messi ni shabiki? Au Mchezaji?Pesa ni muhimu kuliko ushabiki ambae haamini akamuulize Messi wa PsG
Nikichomoa huto kunya kweli?Kama inauma chomoa
Acha akaitumikie ila wawe Makini sana na huyu mtu.Nilivyoona utambulisho wa Manara sasa naamini hawa GSM hawana lengo la kuiendeleza Yanga ila ni wachumaji tu na lengo ni kuuza jezi za Yanga tu
Chomoa huo mwiko kwanza huko nyumaKama inauma chomoa