Hivi Manara anacheza namba ngapi?mpaka mijitu ijitoe ufahamu ya kuwa watachukua UbInGwA?,mpira ni uwekezaji (pesa)siyo Janja Janja na blaablaaa ya kupiga kambi ya siku tano.Halafu unawadanganya fans wako kwa kumleta MaNaRa na kuwapa furaha ya bandia.Utopolo kumbukeni mna mechi ya klabu bingwa,mnatumia nguvu kubwa kutaka kuujaza uwanja siku ya mwananchi wa JaNgWani.Maandalizi ya kucheza na River United hamna, mnafeli Sana [emoji196][emoji196][emoji196]wa JaNgWani [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]