GSM nimeamini wako pale yanga kufanya biashara zao tu sidhani kama wataiendeleza ile team

GSM nimeamini wako pale yanga kufanya biashara zao tu sidhani kama wataiendeleza ile team

Manara ni brand tayari, ndio maana tunamjadili hapa. Simba imechangia sana kuwepo hapo, na kwa hakika kibiashara Yanga itafaidika nae sana.

Tofauti na mashabiki ambao hatuhami timu, watendaji wa Club kuhama ni kawaida sana, makocha, wachezaji, wahasibu, sasa kwa Manara ambae alikuwa mhasibu tu sioni cha ajabu.

Tumeona wachezaji waliopenda timu zao zaidi kuliko kazi(professional) zao waliishia kuwa maarufu tu. Mfano ni Ngasa.
 
Hivi Manara anacheza namba ngapi?mpaka mijitu ijitoe ufahamu ya kuwa watachukua UbInGwA?,mpira ni uwekezaji (pesa)siyo Janja Janja na blaablaaa ya kupiga kambi ya siku tano.Halafu unawadanganya fans wako kwa kumleta MaNaRa na kuwapa furaha ya bandia.Utopolo kumbukeni mna mechi ya klabu bingwa,mnatumia nguvu kubwa kutaka kuujaza uwanja siku ya mwananchi wa JaNgWani.Maandalizi ya kucheza na River United hamna, mnafeli Sana [emoji196][emoji196][emoji196]wa JaNgWani [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sasa wewe hapo unaumia nini
 
Back
Top Bottom