ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ni wakati sasa uongozi mturudishie msemaji wetu hakuna namna
Pole sana Haji lakini adhabu ni kubwa mno faini ni kubwa mno, siijui imewekwa kwa kukomoa au la
Historia inaweka wazi kuwa walifungiwa pia.
Mwakalebela
Bumbuli
Jerry Muro
Mbona Yanga tu ndio tunaofungiwa?
Pole sana Haji lakini adhabu ni kubwa mno faini ni kubwa mno, siijui imewekwa kwa kukomoa au la
Historia inaweka wazi kuwa walifungiwa pia.
Mwakalebela
Bumbuli
Jerry Muro
Mbona Yanga tu ndio tunaofungiwa?