ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kelele zitapungua, hana adabu na nitakuwa wa mwisho kuamini kama ana mapenzi na Yanga ila ana mapenzi ya hela na GSMWatu wanajua kumfungia Manara watapata chochote kitu kwenye rufaa yake.....
Kelele zitapungua,hana adabu na nitakuwa wa mwisho kuamini kama anamapenzi na Yanga,ila anamapenzi ya hela na GSM
Kumbuka Haji siyo kosa lake la kwanza, alishaadhibiwa akiwa Simba akalipa faini milioni tano. Huyu amekubuhu kwa kutukana watu na kuituhumu TFF.Ni wakati sasa uongozi mturudishie msemaji wetu hakuna namna
Pole sana Haji lakini adhabu ni kubwa mno faini ni kubwa mno...sijui imewekwa kwa kukomoa au la
Historia inaweka wazi kuwa walifungiwa pia
Mwakalebela
Bumbuli
Jerry Mulo
Mbona Yanga tu ndio tunaofungiwa?
Na ni mstaarabu.NUGGAZ anajua sana
Nuggaz kwa jinsi alivyorogwa na aliyebakia hapo Yanga SC akikubali kurejea naenda Kuharisha Makusudi pale Getini Lugalo Barracks mbele ya MP Wakomavu.Ni wakati sasa uongozi mturudishie msemaji wetu hakuna namna
Pole sana Haji lakini adhabu ni kubwa mno faini ni kubwa mno...sijui imewekwa kwa kukomoa au la
Historia inaweka wazi kuwa walifungiwa pia
Mwakalebela
Bumbuli
Jerry Mulo
Mbona Yanga tu ndio tunaofungiwa?
Na ni mstaarabu.
wape salaaaaam[emoji112][emoji112]GSM TURETEENI NUGAS
TURETEENI NUGAS TURETEENI NUGAS TURETEENI NUGAS TURETEENI NUGAS TURETEENI NUGASSSSSSS
Kwani hakuna msemaji Yanga Nugaz arudishwe?Ni wakati sasa uongozi mturudishie msemaji wetu hakuna namna
Pole sana Haji lakini adhabu ni kubwa mno faini ni kubwa mno...sijui imewekwa kwa kukomoa au la
Historia inaweka wazi kuwa walifungiwa pia
Mwakalebela
Bumbuli
Jerry Mulo
Mbona Yanga tu ndio tunaofungiwa?