Ni kama mbumbumbu wwtakavyokuwa wanaenda kuchakazwa kwenye international games
Mimi ombi langu tu kocha aendelee kumwamini foward wetu Yikpe nafkiri mambo yatakuwa mazuri ,na huyu Morrison anapaswa kusubir kwenye mbao ndefu.
Uneducated ...GSM ana muda gani Yanga?Msimu ujao Coach Luc atasajili majembe yake..Tatizo la Yanga wachezaji wengi hawana viwango vikubwa..nusu ya timu itaachwa..Kwa hiyo Mo ananunua marefa ni za kweliKiukweli mdhamini mpya wa club ya Yanga anajitahidi sana kutimiza majukumu yake lakini kuna sehemu bado hajafika na sidhani kama atafika.
Yanga ilipata mafanikio chini ya Manji sababu ya ununuzi wa mechi na siyo juhudi zao uwanjani, ndiyo maana game za ndani walikuwa ni kupiga tu ila akitoka nje anapigwa na hafiki popote.
Tunachoshukuru kwa sasa Yanga wanacheza kwa uwezo wao wote wa uwanjani na matokeo yanaotokea siyo kocha mbovu au kikosi kibovu ila hapo ndiyo mwisho wao.
Asante sana hakuna marefu yasiyo na ncha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba bila kupuliza dawa kwenye vyumba vya kubadilishia,hawezi kushinda.Kiukweli mdhamini mpya wa club ya Yanga anajitahidi sana kutimiza majukumu yake lakini kuna sehemu bado hajafika na sidhani kama atafika.
Yanga ilipata mafanikio chini ya Manji sababu ya ununuzi wa mechi na siyo juhudi zao uwanjani, ndiyo maana game za ndani walikuwa ni kupiga tu ila akitoka nje anapigwa na hafiki popote.
Tunachoshukuru kwa sasa Yanga wanacheza kwa uwezo wao wote wa uwanjani na matokeo yanaotokea siyo kocha mbovu au kikosi kibovu ila hapo ndiyo mwisho wao.
Asante sana hakuna marefu yasiyo na ncha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli mdhamini mpya wa club ya Yanga anajitahidi sana kutimiza majukumu yake lakini kuna sehemu bado hajafika na sidhani kama atafika.
Yanga ilipata mafanikio chini ya Manji sababu ya ununuzi wa mechi na siyo juhudi zao uwanjani, ndiyo maana game za ndani walikuwa ni kupiga tu ila akitoka nje anapigwa na hafiki popote.
Tunachoshukuru kwa sasa Yanga wanacheza kwa uwezo wao wote wa uwanjani na matokeo yanaotokea siyo kocha mbovu au kikosi kibovu ila hapo ndiyo mwisho wao.
Asante sana hakuna marefu yasiyo na ncha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uneducated ...GSM ana muda gani Yanga?Msimu ujao Coach Luc atasajili majembe yake..Tatizo la Yanga wachezaji wengi hawana viwango vikubwa..nusu ya timu itaachwa..Kwa hiyo Mo ananunua marefa ni za kweli
Manji meondoka sasa amekuja Mo kuua soka la Tanzania.Sasa tufanyeje maana soka letu likisimama nchale,likikaa nchaleManji alikuwa muhuni yule.Angeua soka la bongo kabisa.
Afadhali huyu sasa anaonekana ana lenga kuinua kiwango cha mpira,sema anahitaji muda na support.
Sent using Jamii Forums mobile app
Manji alikuwa muhuni yule.Angeua soka la bongo kabisa.
Afadhali huyu sasa anaonekana ana lenga kuinua kiwango cha mpira,sema anahitaji muda na support.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na malinzi umemsahau...Kiukweli mdhamini mpya wa club ya Yanga anajitahidi sana kutimiza majukumu yake lakini kuna sehemu bado hajafika na sidhani kama atafika.
Yanga ilipata mafanikio chini ya Manji sababu ya ununuzi wa mechi na siyo juhudi zao uwanjani, ndiyo maana game za ndani walikuwa ni kupiga tu ila akitoka nje anapigwa na hafiki popote.
Tunachoshukuru kwa sasa Yanga wanacheza kwa uwezo wao wote wa uwanjani na matokeo yanaotokea siyo kocha mbovu au kikosi kibovu ila hapo ndiyo mwisho wao.
Asante sana hakuna marefu yasiyo na ncha.
Sent using Jamii Forums mobile app