Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Kampuni ya GSM inayodhamini Yanga imeahidi mil 200 kwa wachezaji wa Yanga iwapo watafanikiwa kuifunga Simba hapo tar 8.
Mwamuzi wa mechi hiyo ni Martin Sanya aliyewahi kuruhusu goli la Tambwe la mkono dhidi ya Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamuzi wa mechi hiyo ni Martin Sanya aliyewahi kuruhusu goli la Tambwe la mkono dhidi ya Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app