Dahhh aisee kwa iyo Ngamia kapenya kwenye tundu LA sindanoKuifunga simba wanaweza wakaifunga lakini kushinda mechi dhidi ya Simba ni ngumu kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Hawa MITULINGA FC kufungwa na Simba ni sawa na mauti na Binadamu hayaepukiki.hata kama wakiahidiwa Bilioni 3.
Mmoja tu ametosha mkuuMi nashauri tff iwape kibali yanga siku hiyo wakae magoli kipa watatu pale then tuna penetrate mishindo mitatu wakiwa wote hapohapo
It's Scars
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mchezaji wa Yanga niliyekukopesha mil 2 wakati wa kunirudishia umefika rasmi
ππππ Mtaani kwetu Tandika wanamlaumu sana mkubwa kwamba ana kijigundu , kila akitia timu tunapigwa !