Nataman Sana kuchezea GTA V lakin sijafanikiwa. Nilidownload moja ikawa inanidai kulogin social club, nyingine highly compressed ikawa inafeli kuinstall. [emoji24][emoji24][emoji24]Mission za mwisho kwenye gta v zinatokana na maamuzi yako utakayoamua kufanya kwa watu utaoamua kuwaua.
Ukichagua kumuua Trevor Philips, mission inaitwa something sensible
Ukichagua kumuua Michael , mission inaitwa Times Come
Ukichagua kuwaua wale watu unaohisi watawau mission inaitwa Third Way
Part One
Part Two
Kwenye smartphone?Nataman Sana kuchezea GTA V lakin sijafanikiwa. Nilidownload moja ikawa inanidai kulogin social club, nyingine highly compressed ikawa inafeli kuinstall. [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent from my 220233L2G using JamiiForums mobile app
Nani ana setup ya GTA V niko Dom nahitaji, au kama kuna namna nyingine ya kupata
na mim mnitag Nipo Dom kikuyu piaUkipata nitag nipo kikuyu apa
PowaUkipata nitag nipo kikuyu apa
game itakua laggy kinyamaNina PC apa Ina core i5 ni HP ProBook 6560b precessor 2.5 he inaweza kucheza GTA 5
Na mimi unitag nipo Kibadana mim mnitag Nipo Dom kikuyu pia
Kwahio inatakiwa ngapi?game itakua laggy kinyama
nilicheza kwa medimu res. settings kwa pc ya:Kwahio inatakiwa ngapi?
Mbona specs zakoni ndogo kuliko zangu. Ram 4 processor 2.5ghz core i5 3rd gen ya 2520m graphics natumia Intel 3000nilicheza kwa medimu res. settings kwa pc ya:
1. 8GB RAM
2. Nvidia Video Card(discrete) ya 1GB RAM
3. CPU 3rd gen i5-3437
pc iwe na SSD badala ya HDD itapendeza zaidi
specs zikiwa kubwa ndiyo hasa una enjoy, zikiwa ndogo, utacheza ila tegemea lagging na stuttering
mie ilikua 8GBRam 4
mie ilikua 3.4GHzprocessor 2.5ghz
wewe video card ni integrated ambayo 512 mb vram , mbaya zaidi ni sharedgraphics natumia Intel 3000
Weka SSD hata 128gb tu ongeza ram ifike 8gb unacheza kibingwa freshNina PC apa Ina core i5 ni HP ProBook 6560b precessor 2.5 he inaweza kucheza GTA 5