Guardiola na laana ya wachezaji wa Kiafrika

Guardiola na laana ya wachezaji wa Kiafrika

Hiyo laana ya miungu wa kiafrika kwanini ilishindwa kumzuwia asichukue EPL? Hiyo miungu ya Kiafrika kwanini isiisaidie Africa kuchukua World cup? Kama kuna Miungu ya Kiafrika ina maana ipo pia miungu ya Kichina,Kizungu,kiarabu.......So,kuna miungu mingapi Dunia hii?
Upuuzi tu wakosane wao watu jumuishe na sisis
 
Ni myahudi aliyezaliwa na kukulia Hungary.
Anaitwa Bella Guttmann,aliomba nyongeza ya mshahara wakamnyima na alichukua kombe mara mbili mfululizo nadhani 1962.Akaamua kuwaachia laana.Alizaliwa 1899 na kufariki 1981.Ni mu hungary Hungary, alifundisha mpaka team za taifa za Austria, Netherlands, Italy, Brazil, Uruguay, na Portugal alifundisha club kibao lakini alikuwa akikaa sana anakaa season sio zaidi ya mbili.alikuwa akisema season ya tatu inakuwa "fatal" alikuwa na visa vingi kama mchezaji na kocha na hata wakati anaanza carrreer yake aliwahi kupelekwa kambi ya wa nazi akateswa sana.Huyu jamaa kiasili ni myahudi!
 
Bela Guttmann mwenyewe ndo huyu Sasa
images.jpg
images%20(1).jpg
 
Anaitwa Bella Guttmann,aliomba nyongeza ya mshahara wakamnyima na alichukua kombe mara mbili mfululizo nadhani 1962.Akaamua kuwaachia laana.Alizaliwa 1899 na kufariki 1981.Ni mu hungary Hungary, alifundisha mpaka team za taifa za Austria, Netherlands, Italy, Brazil, Uruguay, na Portugal alifundisha club kibao lakini alikuwa akikaa sana anakaa season sio zaidi ya mbili.alikuwa akisema season ya tatu inakuwa "fatal" alikuwa na visa vingi kama mchezaji na kocha na hata wakati anaanza carrreer yake aliwahi kupelekwa kambi ya wa nazi akateswa sana.Huyu jamaa kiasili ni myahudi!
Noma Sana Kuna watu wanalaani aisee [emoji3] hapo utakuta hata Benfica akikutana na timu ya hovyo haibebi kombe
 
Hiyo laana ya miungu wa kiafrika kwanini ilishindwa kumzuwia asichukue EPL? Hiyo miungu ya Kiafrika kwanini isiisaidie Africa kuchukua World cup? Kama kuna Miungu ya Kiafrika ina maana ipo pia miungu ya Kichina,Kizungu,kiarabu.......So,kuna miungu mingapi Dunia hii?
Mkuu hapo imezungumziwa Guardiola kutokubeba tena UEFA CL tu na sio EPL Wala Africa kuchukua World Cup
 
Hivi vitu vipo mkuu siku ntakuja na laana waliyoachiwa Benfica ya Ureno na kocha wao
Mbona zipo humu,

 
Mwaka 2018 wakala wa Yaya Youre alisema kua"miungu ya kiafrika haitamuacha Guardiola ashinde CL miaka ijayo hii Itakua Kama laana ya kiafrika nawaambieni mda tu ndo utaongea kama nipo sahihi au laa"

Leo guardiola kapoteza fainali ya UEFA dhidi ya Chelsea naona Kama laana ya kiafrika imemshukia kweli Guardiola na maneno ya jamaa Yana ukweliView attachment 1801954
Upuuzi tu huu.
 
Hapendi weusi wanaotokea Afrika na sio waliozaliwa na kukualia Ulaya na Amerika Kusini. Mi naona yupo sawa tu. Zamani sikua namkubali kwa hilo.
Kwa namna hiyo yupo sawa mkuu. Miafrika iliyokulia Africa haijitambui kabisa kuanzia kwa viongozi mpaka wengine wengine. Acha tu waendelee kubaguliwa
 
Laana iwepo kwenye Champion leaque tu?hakuna cha laana wala nn
Ndio mkuu Kama yule Bela Guttmann alivyoilaani Benfica kutokuchukua Kombe lolote la Ulaya kwa mda wa miaka 100
Ila hakulaaniwa kwenye makombe ya ligi yeye aliilaani kwenye makombe ya Ulaya tu
 
Hizo timu nyingine zipi?? Hapa anaezungumziwa ni Guardiola Yani popote atakapoenda
Mkuu acha kuamini vitu vya kufikirika,

Hizo team nyingine namaanisha kama vile Arsenal na Man city,je nao wana laana ya nani kutokuchukua ucl?
 
Back
Top Bottom