jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
- Thread starter
- #81
Hahaha itabidi aandae majibu ya maswali ya MansoorEeh kiongozi [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha itabidi aandae majibu ya maswali ya MansoorEeh kiongozi [emoji23] [emoji23]
ndo hivyo mkuu 😂 😂Hahaha itabidi aandae majibu ya maswali ya Mansoor
Atajua hajui,sema Guardiola anaweza kususa na kuondoka cityndo hivyo mkuu [emoji23] [emoji23]
Psg?Ambaye anabisha sio laana atuambie ni nini? Man CTY ndio team ambayo inawachezaji classic dunia nzima kwa muda wa miaka 3 mfululizo.
Akinyanyua atakua ame tuprove wrong,,asiponyanyua je we utasemaje?Hizi ni myths tu za watu, sasa msimu ujao akilinyakua hilo kombe utasemaje kuhusu hiyo miungu yako.
Hayo mambo ya superstition hayana maana yoyote kwenye mchezo wa soka, soka ni version nyingine ya sayansi.
yote yaawezekana mkuuAtajua hajui,sema Guardiola anaweza kususa na kuondoka city
Sawa ngoja tuoneyote yaawezekana mkuu
Kwani hii iliyoisha ndio Uefa ya mwisho.!Akinyanyua atakua ame tuprove wrong,,asiponyanyua je we utasemaje?
Ipi?Kwani hii iliyoisha ndio Uefa ya mwisho.!
Achukuwe ukocha Burnley FC ya EPLHakuna cha laana wala nini. Pep ni kocha wa kawaida sana ile mwenye unlimited financial resources.
Umeongea utumbo alafu wewe ni member wa 2008Achukuwe ukocha Burnley FC ya EPL
tuone kama watachukuwa hata League Cup😅😂🤣