Acha kufanya vitu Kwa hisia kijana pep hawez kuwa best manager of all time huk ni kawakosea heshima kina sir Alex Ferguson hicho unacho kiona pep anakifanya Ferguson alifanya miaka mingi sana. tena zaidi yake kashinda 13 premium leauge dkawin trable 1999 premium leauge,FA cup na Champions leauge.kawin English premium leauge mara tatu mfuliz msimu wa 2006 to 2008.bado Bill shakryn kocha wa zamani wa livepoor Bado Vincent de Bose que Koch wa zamani wa Spain na Real Madrid bado Carlo anceloti bado joahn crufty kocha wa zamani wa Barcelona na Netherlands