Nguvu moja JF-Expert Member Joined Oct 20, 2017 Posts 3,371 Reaction score 2,713 Dec 1, 2017 #1 Inakuwa kero na balaa ndani ya nyumba zetu, na amani inakuwa ndogo kati ya mume na mke, muda wowote mnakinukisha, na mashitaka yasioisha ndani ya familia na baraka ndani ya, nyumba hutoweka, na mikosi kukaribisha ndani ya nyumba.
Inakuwa kero na balaa ndani ya nyumba zetu, na amani inakuwa ndogo kati ya mume na mke, muda wowote mnakinukisha, na mashitaka yasioisha ndani ya familia na baraka ndani ya, nyumba hutoweka, na mikosi kukaribisha ndani ya nyumba.
dirtyboy JF-Expert Member Joined Sep 16, 2017 Posts 380 Reaction score 669 Dec 1, 2017 #2 Nyumba ya namna hii, ni nyumba ya wasiofanya ibada