Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kasi hana sio kwa umri bali yupo hivyo toka akiwa kijanaAna uwezo sana shida ni umri mkuu hana kasi ila kumiliki mpira anaweza sana..
Sawa sawakasi hana sio kwa umri bali yupo hivyo toka akiwa kijana
Hapana umri unachangia kama umecheza japo kidogo utanielewa...kasi hana sio kwa umri bali yupo hivyo toka akiwa kijana
Umri yuko taratibu mnoo, anatabirika. Lakini pia hapambanii mipira anapoteza kirahisi mnoo. Ngoja tunasubiri Dube.Huyu jamaa inawezekana akaja kuwa mbadala wa mayele, tumpe muda, magoli anayofunga si ya kwaida kabisa.
Self-imagekasi hana sio kwa umri bali yupo hivyo toka akiwa kijana
Upo sahihiUmri yuko taratibu mnoo, anatabirika. Lakini pia hapambanii mipira anapoteza kirahisi mnoo. Ngoja tunasubiri Dube.
Hata Msonda alikua yeye na kipa anamgongesha mpira wakati Gwede ana utulivu sana aisee nafasi anayopata anaitumia vizuri hao ndio washambuliaji sio mtu anataka apate nafasi za wazi tano ili afunge goli moja...Angekuwa bado yuko kwenye 20's, ningeamini. Bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Yupo kwenye 30's. Ila ana improvement kwa kweli. Na ana utulivu mkubwa pale anapolitazama goli, ukimlinganisha na mdogo wake Kibu Denis (Clement Mzize)
Ulivyomalizia sasa 😂Angekuwa bado yuko kwenye 20's, ningeamini. Bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Yupo kwenye 30's. Ila ana improvement kwa kweli. Na ana utulivu mkubwa pale anapolitazama goli, ukimlinganisha na mdogo wake Kibu Denis (Clement Mzize)
Musonda sijui ni bahati ya goli hana au ni kukosa utulivu?Hata Msonda alikua yeye na kipa anamgongesha mpira wakati Gwede ana utulivu sana aisee nafasi anayopata anaitumia vizuri hao ndio washambuliaji sio mtu anataka apate nafasi za wazi tano ili afunge goli moja...
Anakosa utulivu ana haraka sana anapotumia miguu kuliko kichwa...Musonda sijui ni bahati ya goli hana au ni kukosa utulivu?
Kwani YANGA haiwezi kumpunguza Umri akawa na Miaka 20?Ana uwezo sana shida ni umri mkuu hana kasi ila kumiliki mpira anaweza sana..
AbadilikeAnakosa utulivu ana haraka sana anapotumia miguu kuliko kichwa...
Kukosa utulivuMusonda sijui ni bahati ya goli hana au ni kukosa utulivu?