mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
Wachezaji wafuatao hawana msaada ndani ya Yanga sc na wanapaswa kufukuzwa mwishoni mwa msimu huu
Joseph Guede '_ huyu hata kwa kumuangalia tu ni mtu mzima tena mzee, mchezaji kalegea kama mpiga punyeto wa manzese, hajitumi, wala hana uchungu na timu sio ajabu amekaa miezi 6 hana timu, hana hadhi ya kucheza Yanga sc. Afukuzwe
Skudu'_usajili wakipumbavu zaidi kuwah kufanyika ndani ya Yanga sc, hana msaada wa aina yoyote ile. AFUKUZWE
Musonda _huyu hana consistency, pia ball control yake ni mbaya, hana utulivu akiwa na mpira mguuni na nimchezaji wa baadhi ya mechi. AFUKUZWE
Fred_ average player, hana uwezo wa kucheza yanga, mabeki wenye uwezo zaidi yake wako wengi katika timu ndogo za ligi kuu Tanzania. Kwanza mchezaji gani wa mpira unakitambi kama mgonjwa wa kifaduro. AFUKUZWE
Kibabage _ arudi singida fountain gate, sioni kama anauwezo wakuifikisha yanga popote, mchezaji mjinga anaewaza kwenda mbele muda wote bila kutumiza jukumu lake mama la ulinzi. FUKUZA
LOMALISA _huyu kwa sasa hatufai tena ni wakati wakufanya usajili mwingine Juzi kati alikuwa anafanya promosheni za bia kitambaa cheupe analewa hovyo nakukatika viuno kama bwege. FUKUZA
Mkude _Huyu ni mlevi na mjinga, hajitambui, HATUFAI. ikiwezana vitu vyake vitupwe nje pale avic town asikanyage tena
Joseph Guede '_ huyu hata kwa kumuangalia tu ni mtu mzima tena mzee, mchezaji kalegea kama mpiga punyeto wa manzese, hajitumi, wala hana uchungu na timu sio ajabu amekaa miezi 6 hana timu, hana hadhi ya kucheza Yanga sc. Afukuzwe
Skudu'_usajili wakipumbavu zaidi kuwah kufanyika ndani ya Yanga sc, hana msaada wa aina yoyote ile. AFUKUZWE
Musonda _huyu hana consistency, pia ball control yake ni mbaya, hana utulivu akiwa na mpira mguuni na nimchezaji wa baadhi ya mechi. AFUKUZWE
Fred_ average player, hana uwezo wa kucheza yanga, mabeki wenye uwezo zaidi yake wako wengi katika timu ndogo za ligi kuu Tanzania. Kwanza mchezaji gani wa mpira unakitambi kama mgonjwa wa kifaduro. AFUKUZWE
Kibabage _ arudi singida fountain gate, sioni kama anauwezo wakuifikisha yanga popote, mchezaji mjinga anaewaza kwenda mbele muda wote bila kutumiza jukumu lake mama la ulinzi. FUKUZA
LOMALISA _huyu kwa sasa hatufai tena ni wakati wakufanya usajili mwingine Juzi kati alikuwa anafanya promosheni za bia kitambaa cheupe analewa hovyo nakukatika viuno kama bwege. FUKUZA
Mkude _Huyu ni mlevi na mjinga, hajitambui, HATUFAI. ikiwezana vitu vyake vitupwe nje pale avic town asikanyage tena