Nikipanga safari ya Dodoma nitaomba uwe mwenyeji wangu mkuu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Aiseeeeeeee we jamaaaa
Mautamu kama yote, kama mkuu Demise una undugu nae nini?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Utamuuuuu
Mkuu kwa niaba yangu chondechonde naombe uchakate kiazi cha @DemmisBila shaka karibu sana mkuu
Yaaap, Jf is all about funny, so chuki sio kitu kizuri kwa members.
Lini?nakusubiriAsante sana Mkuu Naomba nije nikuoe tu
Yaaap, Jf is all about funny, so chuki sio kitu kizuri kwa members.
Ila mkuu kama una sehemu kubwa pika na ubwabwa wateja wako wakichoka chips wale ubwabwa,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] katika kitu niko makini ni kulinda mtaji wa kiwanda changu tu mkuu