Talking about Asprin mapenzi yamepungua ninatafuta mganga wa kumuweka sawa.Hahahaaaaa anachonifurahisha huyu jamaa nguvu zake nyingi na akili zake zote ameziwekeza kwenye kazi yake ya uchakataji viazi tena kwa ubunifu wa kipekee yaani hua simtofautishi sana na babu@Asprin nae jinsi alivyowekeza kwenye kuchakata K Vant.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mtaji wangu niliupata kwa kuanza kuchoma mishikaki kijiweni
Viazi asili viapatikana LushotoViazi vyenyewe siku hizi vya kichina maji mara moja tu vinapwaya havina nguvu tena
Walikutoa macho amaInstanbul kwenye vile vita vya wenyewe kwa wenyewe
We si mtakaji,Navyo vinapwaya viko kama vya DSM
Wa viazi asiliWa nini?
hahahaKiwanda kipo dom town siku hiyo ukija nitakuwa mpishi ili niliwe na wewe natamani sana.
Kabla hujamla mpishi mfanyie disinfection maana anakula hovyo hatujui kama kila anachokula ni freshzeroo eeh
kiwanda chako kiko wapi nije kula product hizo nikimaliza nimle mpishi
Muelekeze vizuri kua upo opoziti na milembe koleji.Kiwanda kipo dom town siku hiyo ukija nitakuwa mpishi ili niliwe na wewe natamani sana.