Mkurugenzi wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF) nchini Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, ameonekana akiwa amefungwa pingu na kupelekwa kituo cha polisi baada ya video za ngono zilizorekodiwa kuenea mitandaoni siku kadhaa zilizopta.
Engonga amekuwa gumzo kubwa kufuatia uvamizi uliofanywa na mamlaka za Guinea Ikweta nyumbani kwake katika uchunguzi wa madai ya ufisadi. Wakati wa uvamizi huo, maafisa walikuta kanda zenye maudhui ya faragha, ambazo baadae zilisambaa kwa kasi, zikileta taharuki na kuibua maswali kuhusu maadili ya viongozi wa umma.
Mkurugenzi wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF) nchini Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, ameonekana akiwa amefungwa pingu na kupelekwa kituo cha polisi baada ya video za ngono zilizorekodiwa kuenea mitandaoni siku kadhaa zilizopta.
Engonga amekuwa gumzo kubwa kufuatia uvamizi uliofanywa na mamlaka za Guinea Ikweta nyumbani kwake katika uchunguzi wa madai ya ufisadi. Wakati wa uvamizi huo, maafisa walikuta kanda zenye maudhui ya faragha, ambazo baadae zilisambaa kwa kasi, zikileta taharuki na kuibua maswali kuhusu maadili ya viongozi wa umma.
Mkurugenzi wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF) nchini Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, ameonekana akiwa amefungwa pingu na kupelekwa kituo cha polisi baada ya video za ngono zilizorekodiwa kuenea mitandaoni siku kadhaa zilizopta.
Engonga amekuwa gumzo kubwa kufuatia uvamizi uliofanywa na mamlaka za Guinea Ikweta nyumbani kwake katika uchunguzi wa madai ya ufisadi. Wakati wa uvamizi huo, maafisa walikuta kanda zenye maudhui ya faragha, ambazo baadae zilisambaa kwa kasi, zikileta taharuki na kuibua maswali kuhusu maadili ya viongozi wa umma.
Nafikiri Hatia yake itakuwa ni kufanya mapenzi Ofisini kwenye majengo ya umma. Hata hivyo, hakupaswa kufungwa pingu mikononi na miguuni kwa sababu kiuhalisia siyo mtu hatari.
Kwanza nini maana ya kuvuja, means zimetokea bahati mbaya, usikute jamaa alikuwa anajichukulia video kisha ajipime yeye na kina John sins,
Ingekuwa kawachukua video kisha anawatishia, ama anawaomba hela hapo sawa.