Wamesema ufisadi..mambo ya video ngapi sijui ni matokeo ya upekuzi..yani hii inaitwa kujiongezaMambo ya ajabu sana haya mkuu.
Sasa mtu anafungwa kupiga miti wanawake???
... na kupiga miti wake za watu huku ukijua ni wake za watu sio kosa la jinai?Kwenye ofisi za umma acha ujinga
... imagine mwanamke, wako, bosi wake, BATA'ZALI, ni kiongozi wa TAKUKURU na amemkuta mkeo na kidhibiti cha rushwa, halafu mkeo ni kifaa ...!Mahakama Kuu ya Equatorial Guinea imemuona Bartazar Engonga hana hatia kufuatia kadhia ya video za ngono alizorekodi alipokuwa akifanya vitendo vya ngono na wanawake zaidi ya 460.
Mahakama imeridhika kuwa akina mama hao walikuwa ni watu wazima wenye maamuzi yao binafsi, hakumwambukiza yeyote kati yao gonjwa la zinaa.
Kwa upande mwingine wanaume wengi ambao walikuwa waume wa hao wanawake wamemshukuru kwa kuwasaidia kujua tabia halisi za wake zao na wengi weamua kuachana nao rasmi.
View attachment 3147100
Mbona ume comment kwa hasira sana, alipita kwa shem nini Bwn Baltasar?Edit hiyo paragraph ya kwanza, sio mkurugenzi tena, nafasi yake ameteuliwa mtu mwingine tayari.
hujielewi...Sasa ana hatia gan pingu hadi miguun ... WANAWAKE hawatak mwanaume mpole
Mtu amekula dada wa rais..... Huyo atapata tabu sana....Muosha huoshwa.
Nafikiri Hatia yake itakuwa ni kufanya mapenzi Ofisini kwenye majengo ya umma. Hata hivyo, hakupaswa kufungwa pingu mikononi na miguuni kwa sababu kiuhalisia siyo mtu hatari.
Completely unclear and unknown.
Kaachiwa huruKesi ana uyo mjuba kwanza izo video zilitulia seem salama adi watu wa mamlaka walipoenda pekua nyumba ndio wao wakasambasa ayo mambo sio yeye pili kala mke wa mchungaji wake apo dhambi anafutiwa mokwakwamoja sababu wachungaji ndio wanapenda kula wake za watu,, apo zambi ana mchungaji alitakiwa kumkemea pepo wa ngono wa uyo mjuba zambi ana kosa la mchungaji na kudhingatia alikuwa akipokea sadaka ya mjuba ilionona lkn kashindwa kutumiza uchungaji wake!! Au nakosea
Kaachiwa huruMtu amekula dada wa rais..... Huyo atapata tabu sana....
Ee kwa muda. Believe me , this is Africa na soon they will gun him down....Kaachiwa huru